CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 6,939
- 22,981
Nipo katika mahusiano huu ni mwaka wa 9 niko na mpenzi m1 ninayemhudumia kila kitu, lakini katika huduma ninazompa kuna huduma 1 ambayo nimemtamkia live bila kupepesa macho kuwa ifikapo tar 1 Jan 2021 kama tutajaliwa uhai itakua mwisho wangu wa kutoa; pesa ya yeye kwenda kusuka. Nitatoa pesa ya mahitaji mengine ila si inayohusisha nywele.
Ni mwisho mimi kutoa pesa za kwenda saloon. KUITA msusi aje amsuke, na huduma zngne.nk. Kuna kipindi niliambiwa ninunue mafuta fulani ni bei sana yanauzwa kama 80k hivi, nilishangaa sana nikamuuliza kwanini hela yote hyo? Akaniambia kuwa haya mafuta yanasaidia nywele zisikatike, nikajisemea moyoni (sawa ni vzuri na mimi mpenzi wangu awe na nywele refu) nikanunua.
Lakini tangu kipindi hicho hadi leo zile nywele zipo shingoni tu, miaka na miaka nywele imeganda pale pale shingoni haiji huku mgongoni ifike kiunoni. Nimejitahidi sana kuhudumia hizi nywele ila naona huu upotezaji hela "imetosha sasa" 2021 naenda kuanza maisha mapya na mimi asee.
Nina uhakika ningekua siendi saloon kunyoa nywele zangu zingekua huku miguuni na sizifanyii kitu chochote zaidi ya mafuta na spray tu, ila haiwezekani huyu mwenzangu yeye nywele anazipaka kila kitu ila bado zipo pale pale na katika historia yake anadai nywele kaanza zifuga tangu Chuo.
Sasa hizi nywele za wanawake wa Tz ni kwamba zinadumazwa na hili jua au nyie kina dada hizo nywele zimekuaje, mbona hazikui/haziongezeki? Ktk kauchunguzi kangu ka chini chini nimegundua.
Si huyu mpenzi wangu tu, ila ni wanawake almost 85% na kama yupo wa kuni-prove wrong leo atokee mdada/mmama humu JF mwenye nywele imefika kiunoni natoa 100k (100,000) kwake.
Huu ujanja wenu mimi nimeushtukia. Mkinyimwa hela za saloon mnanuna sana nyie, tena mnavimba ila nawaambia kwamba hamna mtu yupo tayari kumwagilia mti usiotoa matunda, mbolea kila siku.
Msimu wa matunda yanatoka maua tu ila hamna cha embe wala papai, asee maua hayaliwi na kwakua siwezi kuukata huu mti basi hata kumwagilia na kuweka mbolea siweki tena nimechoka eti.
Mbona Rasta zinakua? Marasta man anasokota dread leo ukimtafuta mwakani Dread ipo mogongoni zote ni nywele kama hizo zenu ila kwann zenu zikifika shingoni zinagoma kuendelea? Eti jana akawa ananipanga ananiambia "baby kwani huoni zimejaa?" Nikamwambia mimi sitaki zijae nataka kitu kirefuke, eboooo!
Ni mwisho mimi kutoa pesa za kwenda saloon. KUITA msusi aje amsuke, na huduma zngne.nk. Kuna kipindi niliambiwa ninunue mafuta fulani ni bei sana yanauzwa kama 80k hivi, nilishangaa sana nikamuuliza kwanini hela yote hyo? Akaniambia kuwa haya mafuta yanasaidia nywele zisikatike, nikajisemea moyoni (sawa ni vzuri na mimi mpenzi wangu awe na nywele refu) nikanunua.
Lakini tangu kipindi hicho hadi leo zile nywele zipo shingoni tu, miaka na miaka nywele imeganda pale pale shingoni haiji huku mgongoni ifike kiunoni. Nimejitahidi sana kuhudumia hizi nywele ila naona huu upotezaji hela "imetosha sasa" 2021 naenda kuanza maisha mapya na mimi asee.
Nina uhakika ningekua siendi saloon kunyoa nywele zangu zingekua huku miguuni na sizifanyii kitu chochote zaidi ya mafuta na spray tu, ila haiwezekani huyu mwenzangu yeye nywele anazipaka kila kitu ila bado zipo pale pale na katika historia yake anadai nywele kaanza zifuga tangu Chuo.
Sasa hizi nywele za wanawake wa Tz ni kwamba zinadumazwa na hili jua au nyie kina dada hizo nywele zimekuaje, mbona hazikui/haziongezeki? Ktk kauchunguzi kangu ka chini chini nimegundua.
Si huyu mpenzi wangu tu, ila ni wanawake almost 85% na kama yupo wa kuni-prove wrong leo atokee mdada/mmama humu JF mwenye nywele imefika kiunoni natoa 100k (100,000) kwake.
Huu ujanja wenu mimi nimeushtukia. Mkinyimwa hela za saloon mnanuna sana nyie, tena mnavimba ila nawaambia kwamba hamna mtu yupo tayari kumwagilia mti usiotoa matunda, mbolea kila siku.
Msimu wa matunda yanatoka maua tu ila hamna cha embe wala papai, asee maua hayaliwi na kwakua siwezi kuukata huu mti basi hata kumwagilia na kuweka mbolea siweki tena nimechoka eti.
Mbona Rasta zinakua? Marasta man anasokota dread leo ukimtafuta mwakani Dread ipo mogongoni zote ni nywele kama hizo zenu ila kwann zenu zikifika shingoni zinagoma kuendelea? Eti jana akawa ananipanga ananiambia "baby kwani huoni zimejaa?" Nikamwambia mimi sitaki zijae nataka kitu kirefuke, eboooo!