Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Hili ni swali ninalojiuliza hasa ukizingatia nchi yetu hii ni ombaomba.
Utaratibu huu inawezekana unafanywa na viongozi wa mataifa makubwa lakini sisi nchi masikini tunapaswa kuiga kila kitu hata kama uchumi wetu hauruhusu?
Je,haiwezekani raisi akatoa hotuba maalumu ya kuaga na kuzishukuru nchi wahisani na katika hotuba hiyo nchi hizo zote zikaorodheshwa na kisha hotuba hiyo ikasambazwa katika balozi zote za nchi wahisani/marafiki zilizopo hapa nchini?
Jamani twendeni na hali halisi ya uchumi wa nchi yetu na si kuiga kila kitu.
Kama ni kuiga,mbona basi hatuthubutu kuiga kwenda mwezini?
Kwakweli raisi wa nchi hii ana madaraka ya kupitiliza na bahati mbaya hakuna wa kumuhoji na hili ndio tatizo kubwa.Inasikitisha.
Utaratibu huu inawezekana unafanywa na viongozi wa mataifa makubwa lakini sisi nchi masikini tunapaswa kuiga kila kitu hata kama uchumi wetu hauruhusu?
Je,haiwezekani raisi akatoa hotuba maalumu ya kuaga na kuzishukuru nchi wahisani na katika hotuba hiyo nchi hizo zote zikaorodheshwa na kisha hotuba hiyo ikasambazwa katika balozi zote za nchi wahisani/marafiki zilizopo hapa nchini?
Jamani twendeni na hali halisi ya uchumi wa nchi yetu na si kuiga kila kitu.
Kama ni kuiga,mbona basi hatuthubutu kuiga kwenda mwezini?
Kwakweli raisi wa nchi hii ana madaraka ya kupitiliza na bahati mbaya hakuna wa kumuhoji na hili ndio tatizo kubwa.Inasikitisha.