bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
Sasa kwani Ngabu ndo uliambiwa ana vimelea vya maradhi?Nimecheki afya jana wamesema hata bakteria wa upele sina.
Atakaeolewa na mimi atakuwa na bahati sana
Halafu bado tu unatapeli hujaoa?
Sasa kwani Ngabu ndo uliambiwa ana vimelea vya maradhi?Nimecheki afya jana wamesema hata bakteria wa upele sina.
Atakaeolewa na mimi atakuwa na bahati sana
Yaani upitwe tu na hili kirahisi....Ngabu oyeee
Nyinyi si hamtaki wabeba mkaa bana!Sasa kwani Ngabu ndo uliambiwa ana vimelea vya maradhi?
Halafu bado tu unatapeli hujaoa?
Yaani upitwe tu na hili kirahisi....
Ningeshangaa wallah
Typing error kama iyo apo red inaruhusiwa na ni well recomended. Hebu kosea tena
Lazima nije nimpaishe Ngabu! Heheh si unaona keshaitikia mwenyewe :]
Wee ni zaidi ya sungura, yaani hata bila kukidhi viwango tayari ushaambiwa unapata mkopo?Lazima nije nimpaishe Ngabu! Heheh si unaona keshaitikia mwenyewe :]
Sasa na ule mkopo utapata!
Magaga mikononi hatutakiNyinyi si hamtaki wabeba mkaa bana!
Nyinyi si hamtaki wabeba mkaa bana!
Choyo na kijiba hasa...lolMambo si hayo!.
Bey hapo anaona choyo haelewi kuwa "ukiwa karibu na muuza uturi, utanukia vizuri" tu daima
Weee usimzeeshe miaka 57 tu ana uzee gani??Kisha Ngabu siku hizi kawa gentleman....sijui ndo kuzeeka?
Choyo na kijiba hasa...lol
Itabidi ukishanukia huo uturi unipake na mimi basi
Hivi wewe sikudai? .... wewe endelea kujifanya huelewi tu, nitakuja kuchukua ng'ombe zangu za maharinipe rushwa niiupdate hiyo typing error. Lol
Aah Gee ujue hata hakuona hilo, lakini nashangaa wee kidogo tu tiyari umeondoka na mkopo tena Bila masharti!!Wewe nilikuona ulivyowapaisha Wasukuma jana, Ngabu atazingatia hilo wakati wa kutoa mkopo...
faili lako umewasilisha kwa rais?Suala kubwa ni uharibifu wa mazingira na mikaaa! Hata mchungaji anabeba box
Kisha Ngabu siku hizi kawa gentleman....sijui ndo kuzeeka?
Hivi wewe sikudai? .... wewe endelea kujifanya huelewi tu, nitakuja kuchukua ng'ombe zangu za mahari
Aah Gee ujue hata hakuona hilo, lakini nashangaa wee kidogo tu tiyari umeondoka na mkopo tena Bila masharti!!