Hivi Nyani Ngabu anafanya kazi ubalozini?

Lakini Ngabu sr. hakuwa huko kwenye idara ya Isimu bana....yeye alikuwa kwingine kabisa ingawa ni mshikaji wake na Batibo.....unamjua huyo?

Najua unamjua Ngabu sr. ila tu sitakwambia. lol

Ngabu Sr alikuwa besti na Mbughuni pia?
 
Lakini Ngabu sr. hakuwa huko kwenye idara ya Isimu bana....yeye alikuwa kwingine kabisa ingawa ni mshikaji wake na Batibo.....unamjua huyo?

Najua unamjua Ngabu sr. ila tu sitakwambia. lol

Hivi Kezilahabi na Msambichaka walikuwa idara gani?
 
Back
Top Bottom