Hivi Noti za mia tano ndo zinapotea tunaletewa Sarafu hizi za mia tano

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,316
33,112

<form rel="async" class="commentable_item autoexpand_mode" method="post" action="http://www.facebook.com/ajax/ufi/modify.php" style="padding-top: 0px; padding-right: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; margin-top: 0px; margin-right: 0px; margin-bottom: 0px; margin-left: 0px; ">Hivi Noti za mia tano ndo zinapotea tunaletewa Sarafu hizi za mia tano. Je hapo thamani ya Pesa imepanda au imeshuka?</form>
 
Kero katika kuzibeba kwani wallet zinatoboka na kupotea ni rahisi sana!!! Ila value itakuwa ile ile!
 
Kero katika kuzibeba kwani wallet zinatoboka na kupotea ni rahisi sana!!! Ila value itakuwa ile ile!
Mkuu hiyo ndio Dalili ya kushuka kwa Thamani ya pesa za Ki Tanzania .Zimbabwe ilianza hivyo hivyo na kongo nayo hivyo baada ya miaka 5 ijayo Shilingi ya Tanzania itakuwa kama pesa ya Zimbabwe. Makaratasi matupu yasiyokuwa na faida ikija kufika kuwa Tanzania kuna noti ya Shillingi Millioni 1 tumekwisha,itakuwa Pesa ya Tanzania kama ya Zimbabwe Makatarasi matupu yasiyokuwa na faida yoyote ndio tunaanza hivyo taratibu.

ZimMoney.jpg

Makaratasi ya Zimbabwe Pesa ya Zimbabwe Dollar.

zim460.jpg



001-1018163634-zimbabwe_money.jpg
Zimbabwe Mayai matatu unanunwa kwa Dola Billion Moja . Kasheshe kweli.
 


<form rel="async" class="commentable_item autoexpand_mode" method="post" action="http://www.facebook.com/ajax/ufi/modify.php" style="padding-top: 0px; padding-right: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; margin-top: 0px; margin-right: 0px; margin-bottom: 0px; margin-left: 0px; ">Hivi Noti za mia tano ndo zinapotea tunaletewa Sarafu hizi za mia tano. Je hapo thamani ya Pesa imepanda au imeshuka?</form>


shilingui yetu itakuwa kama ya ZAIRE mda si mrefu. halimbaya. kwa hali hii hata kama kima cha chini itakuwa 500,000/= itakuwa chenga la macho.

Lakini kwa nini sarafu hiyo ina alama za ajabu?
1. Inaonesha mwaka 1998, for what
2. Inataja serengeti, kwani ndo hifadhi mhimu kuliko nyingine?
 
Mkuu hiyo ndio Dalili ya kushuka kwa Thamani ya pesa za Ki Tanzania .Zimbabwe ilianza hivyo hivyo na kongo nayo hivyo baada ya miaka 5 ijayo Shilingi ya Tanzania itakuwa kama pesa ya Zimbabwe. Makaratasi matupu yasiyokuwa na faida ikija kufika kuwa Tanzania kuna noti ya Shillingi Millioni 1 tumekwisha,itakuwa Pesa ya Tanzania kama ya Zimbabwe Makatarasi matupu yasiyokuwa na faida yoyote ndio tunaanza hivyo taratibu.

ZimMoney.jpg

Makaratasi ya Zimbabwe Pesa ya Zimbabwe Dollar.

zim460.jpg



001-1018163634-zimbabwe_money.jpg
Zimbabwe Mayai matatu unanunwa kwa Dola Billion Moja . Kasheshe kweli.


Kwa mtazamo na fikira yangu Mi nahisi tunaelekea huko walipo wenzetu tajwa hapo juU kama Zimbabwe!
 
Mkuu hiyo ndio Dalili ya kushuka kwa Thamani ya pesa za Ki Tanzania .Zimbabwe ilianza hivyo hivyo na kongo nayo hivyo baada ya miaka 5 ijayo Shilingi ya Tanzania itakuwa kama pesa ya Zimbabwe. Makaratasi matupu yasiyokuwa na faida ikija kufika kuwa Tanzania kuna noti ya Shillingi Millioni 1 tumekwisha,itakuwa Pesa ya Tanzania kama ya Zimbabwe Makatarasi matupu yasiyokuwa na faida yoyote ndio tunaanza hivyo taratibu.

ZimMoney.jpg

Makaratasi ya Zimbabwe Pesa ya Zimbabwe Dollar.

zim460.jpg



001-1018163634-zimbabwe_money.jpg
Zimbabwe Mayai matatu unanunwa kwa Dola Billion Moja . Kasheshe kweli.

mzizi mkavu, we taarifa hizi umezipata wapi? source plz if u dont mind
 
NTAMAHOLO hii Coin itakuwa ilikuwa ya toleo maalum mwaka 1998 kuhusu Hifadhi ya Serengeti,kama ilivyokuwa Coin ya 50,000/- Iliyotolewa Mwaka 2011 KUSHEHEREKEA MIAKA 50 YA KUTAWALIWA NA WEUSI WENZETU.
 
Mkuu hiyo ndio Dalili ya kushuka kwa Thamani ya pesa za Ki Tanzania .Zimbabwe ilianza hivyo hivyo na kongo nayo hivyo baada ya miaka 5 ijayo Shilingi ya Tanzania itakuwa kama pesa ya Zimbabwe. Makaratasi matupu yasiyokuwa na faida ikija kufika kuwa Tanzania kuna noti ya Shillingi Millioni 1 tumekwisha,itakuwa Pesa ya Tanzania kama ya Zimbabwe Makatarasi matupu yasiyokuwa na faida yoyote ndio tunaanza hivyo tarat

ZimMoney.jpg

Makaratasi ya Zimbabwe Pesa ya Zimbabwe Dollar.

zim460.jpg



001-1018163634-zimbabwe_money.jpg
Zimbabwe Mayai matatu unanunwa kwa Dola Billion Moja . Kasheshe kweli.


hiyo pesa ya zimbabwe mnayoifananisha ni ipi, ya sasa au kipindi iliposhuka?......kwa sasa dola moja ya zimbabwe ni zaidi ya sh 4 ya Tanzania....wenzetu wameshatupiga chini japo tulikuwa tunawakejeli.
 
hiyo pesa ya zimbabwe mnayoifananisha ni ipi, ya sasa au kipindi iliposhuka?......kwa sasa dola moja ya zimbabwe ni zaidi ya sh 4 ya Tanzania....wenzetu wameshatupiga chini japo tulikuwa tunawakejeli.

Mkuu PingPong,
Zimbabwe sasa hivi hawana pesa yao kama nchi, wanatumia US$ na Rand ya RSA tu, na ni official maana hata serikali wanalipa mishahar yao kwa Dollar ama Rand
 
Mkuu hiyo ndio Dalili ya kushuka kwa Thamani ya pesa za Ki Tanzania .Zimbabwe ilianza hivyo hivyo na kongo nayo hivyo baada ya miaka 5 ijayo Shilingi ya Tanzania itakuwa kama pesa ya Zimbabwe. Makaratasi matupu yasiyokuwa na faida ikija kufika kuwa Tanzania kuna noti ya Shillingi Millioni 1 tumekwisha,itakuwa Pesa ya Tanzania kama ya Zimbabwe Makatarasi matupu yasiyokuwa na faida yoyote ndio tunaanza hivyo taratibu.

ZimMoney.jpg

Makaratasi ya Zimbabwe Pesa ya Zimbabwe Dollar.

zim460.jpg



001-1018163634-zimbabwe_money.jpg
Zimbabwe Mayai matatu unanunwa kwa Dola Billion Moja . Kasheshe kweli.

eeh mayai matatu bilioni mia 1 tray itakuwaje!!!:eek:
 
Ntamaholo, Hayo ni maswli muhimu Kujiuliza

Viongozi huwaingiza watu/wananchi wasio na hatia ktk mikataba ya kuzimu bila kujijua just kwa matumizi kama haya

Tuangalie Hait ni matokeao ya ushirikina wa viongozi
 
Ntamaholo, Hayo ni maswli muhimu Kujiuliza

Viongozi huwaingiza watu/wananchi wasio na hatia ktk mikataba ya kuzimu bila kujijua just kwa matumizi kama haya

Tuangalie Hait ni matokeao ya ushirikina wa viongozi
be serious guys, hizo sarafu ziko kwenye application?mbn mi sijaziona or even kusikia kuna sarafu mpya? nachojua ni kwamba for now tanzania ni nchi pekee duniani inayotumia noti za aina mbili na hakuna anayeuliza..
 
Back
Top Bottom