Crispin Nyoni
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 413
- 90
Habari zenu. Nimepata barua toka kwa bosi wangu kuwa kuna mpango maalumu wa kwenda kozi fupi huko nchi fulani(hajataja amesema anafanya utaratibu kisha atasema) lakini amesema hali ya amani huko si nzuri. Naomba msaada wenu kwani naogopa. Nitoe udhuru gani?