Mahweso
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 1,098
- 1,501
Mbona hatuwasomi vile, inakuwaje muda mwingi mnamshambulia huyu Mtu? kwani Serikali haipo?
Hivi kweli Maji hayapatikani kwa sababu ya Lowassa? Hivi kweli Dawa hakuna kama anavyo sema Magufuli kwa sababu ya Lowassa? Hivi kweli migogoro ya mashamba ni kwasababu ya Lowassa? Hivi kweli Elimu mbovu ni kutokana na Lowassa?
Tuambieni mtatutoaje kwenye hali ya umasikini, Kama mkitaka tuanze kukashifiana mbona kila mwana CCM ana yake? Mbona wenzenu wanahangaika kutushawishi jinsi ya kututoa kwenye Umasikini mbona ninyi mnahangaika na Lowassa?
Hivi kweli umasikini wetu ni Lowassa?
Tunaomba kidogo mtuheshimu maana tunajielewa msifikiri hatujielewi jamani,
Hivi kweli Maji hayapatikani kwa sababu ya Lowassa? Hivi kweli Dawa hakuna kama anavyo sema Magufuli kwa sababu ya Lowassa? Hivi kweli migogoro ya mashamba ni kwasababu ya Lowassa? Hivi kweli Elimu mbovu ni kutokana na Lowassa?
Tuambieni mtatutoaje kwenye hali ya umasikini, Kama mkitaka tuanze kukashifiana mbona kila mwana CCM ana yake? Mbona wenzenu wanahangaika kutushawishi jinsi ya kututoa kwenye Umasikini mbona ninyi mnahangaika na Lowassa?
Hivi kweli umasikini wetu ni Lowassa?
Tunaomba kidogo mtuheshimu maana tunajielewa msifikiri hatujielewi jamani,