drphone
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 3,542
- 281
wakuu naombeni mchango wa mawazo nilipoteza line yangu ya voda na aliyeokota akawa anatumia kwa vile ninaline mbili watu wakawa wananipigia line ya tgo kwamba mbona upokei cm ndipo nilipogundua na nilipowasiliana na voda kwa namba ingine nikataja password yangu ya m-pesa wakaifunga ile cm kivumbi nipale nilipokwenda kurudisha line yangu mlolongo niloukuta nikapewa fomu nikajaza mwisho natakiwa nitaje namba 5 nilizokuwanawsiliana nazo na nikatoe copy ya kitambulisho copy hawana na ipo mbali kidogo na ofisi yao swali langu la msingi nilowauliza na ninalotaka msaada wa mawazo kwa greatthinker ni kunamaana gani ya kusajili namba za simu kwani siku ya kusajili nilijaza fomu na copy ya kitambulisho je awaweki rekodi kwenye komputer na kwann iwe hivyo au ndio ubabaishaji