Hivi nini maana ya kusajili namba za simu tanzania???????

drphone

JF-Expert Member
Sep 29, 2009
3,542
281
wakuu naombeni mchango wa mawazo nilipoteza line yangu ya voda na aliyeokota akawa anatumia kwa vile ninaline mbili watu wakawa wananipigia line ya tgo kwamba mbona upokei cm ndipo nilipogundua na nilipowasiliana na voda kwa namba ingine nikataja password yangu ya m-pesa wakaifunga ile cm kivumbi nipale nilipokwenda kurudisha line yangu mlolongo niloukuta nikapewa fomu nikajaza mwisho natakiwa nitaje namba 5 nilizokuwanawsiliana nazo na nikatoe copy ya kitambulisho copy hawana na ipo mbali kidogo na ofisi yao swali langu la msingi nilowauliza na ninalotaka msaada wa mawazo kwa greatthinker ni kunamaana gani ya kusajili namba za simu kwani siku ya kusajili nilijaza fomu na copy ya kitambulisho je awaweki rekodi kwenye komputer na kwann iwe hivyo au ndio ubabaishaji
 
Dr Phone, wewe ndo ulitakiwa utueleze haya...
BTW, Data zinakuwepo kwenye computer, na ndio maana ukituma M-PESA, unapata ujumbe kwenye simu yako kwamba zimemfikia (fulani), ambapo jina lake sahihi linakuwa retrieved!
Lakini wanaweka kumbukumbu ya hard-copy pia kwaajili ya kuzifanyia kazi baadaye, maana hawawezi kuanza kujaza details zako zote kwenye database kwa muda unaoenda kujiandikisha!

Mi naona ni kitu chema tu!
 
Dr Phone, wewe ndo ulitakiwa utueleze haya...
BTW, Data zinakuwepo kwenye computer, na ndio maana ukituma M-PESA, unapata ujumbe kwenye simu yako kwamba zimemfikia (fulani), ambapo jina lake sahihi linakuwa retrieved!
Lakini wanaweka kumbukumbu ya hard-copy pia kwaajili ya kuzifanyia kazi baadaye, maana hawawezi kuanza kujaza details zako zote kwenye database kwa muda unaoenda kujiandikisha!

Mi naona ni kitu chema tu!

mkuu nimelumbana nao sana kwani mm niliwaeleza ninachofahamu wakakubaliana na mm lakini akasema awajaingiza kwenye database yani ni manual ndipo nilipo ona ni ubabaishaji wa kukurupuka bila kujipanga haya ndo madhara yake mkuu inakuwa usumbufu kwetu jambo la dk 1 linachukua masaa kama umesajili namba yako utakiwi tena maswali kama unavykwenda benki wakiingiza jina lako watapata picha na signature yako hayo ndo tunayotaka mkuu
 
za m-pesa zinakuwa tofauti zile inaonyesha wamezifili kwenye data base zao ndio mana nilipotaka kuifunga line nikaulizwa kama nimesajili m-pesa niliposema ndio nikaulizwa jina na namba ya siri nilipotaja akasema sawa tunaifunga na dk ile ile ikafungwa bila kwenda ofisini kwao ila hizi za kusajili namba kwa zoezi lao hili ndo zipo tu kwenye hardcopy
 
Back
Top Bottom