TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,075
Hivi anayekimbia huwa haonekani!! Ama na mimi kiswahili kimeanza kunipiga chenga!?..amekimbia vipi wakati passport mpya amepewa jana na serikali ya Tz?
..Lissu amepita mchana kweupe uwanja wa ndege wa kimataifa, kila mtu akimuona, halafu unasema amekimbia?