Mabarozi ndio nani hao?Mabarozi wamemtorosha mtuhumiwa, afu kila siku wanahubiri utawala wa sheria! Sijui wamekula maharage ya wapi hawa!
Kweli wewe ni shambaboy
Mabarozi ndio nani hao?Mabarozi wamemtorosha mtuhumiwa, afu kila siku wanahubiri utawala wa sheria! Sijui wamekula maharage ya wapi hawa!
Na wewe FUCHA hilo limwandiko lako kama unapanda Mlima Kitonga
Wasamehe, ni wapiga pambio kutoka rwanda hawajui kiswahili vizuri.Mabarozi ndio nani hao?
Kweli wewe ni shambaboy
Really? Sheria inasemaje?
Mlisema hivyo hivyo kwa Sara Kuku na yule wa Marekani, chubiri ubatizo wa moto. Serikali hii ipo makini na imejipanga, huyo wa USA nilitoa miezi mitatu lakini naona tayari anafahamu hitima yake, akikaa sanasana March anafungasha. Wa Ujerumai tayari kaitwa, Sisi sio kataifa kadogo ngoja tukae uzuri baada ya huu uchaguzi tuwafurumushe vizuka wanaojitokeza kule ntwara...wasipoondolewa maana yake serikali imesalimu amri na kufyata mkia.
On your dreams mate! Unafahamu nani alikuwa anakaimu?Hatuna uwezo wa kumrudisha balozi wa USA
Kweli ni rais wa manyumbuYule Ni Raisi hajatangazwa tu
Magu amefanikiwa kumuambukiza roho mbaya kila mtu hasiyejitambuaKwani kaiba nini Tz?
Ebu fanya Kama hujawahi msikia TAL , utakosa Nini wewe mtanzania?
Roho mbaya tu inasumbua wengi