platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,366
- 11,154
Kwenye mahusiano nimepita pengi kiasi. Na hapa nazungumzia uzoefu wangu binafsi ambao hata mimi unanitisha: Ni rahisi kumulika mwizi au kuujua uongo.
Iko hivi, Ni kwamba naweza kuwa kwenye mahusiano mazuri tu na yakaendelea kwa muda fulani, lakini kwangu inakuwa rahisi sana kuhisi (kama ndivyo ilivyo) g/f wangu anachepuka/kuflirt pembeni na nikishahisi sitalala mpaka nipate ushahidi usiotiliwa mashaka.
Hapo napata amani sana................sijui kwa nini lakini kitendo cha mimi kuhakikisha kwamba nachezewa mchezo huwa ndiyo hitimisho la amani, na kama sitapata nachokitaka sitakuwa "comfortable" (na lazima nitaujua ukweli).
Si hilo tu kuna kusema uongo........Ipo hali kudanganya kwenye mahusiano: Inawezekana tukawa katika hali ya kawaida ya mahusiano lakini kama itatokea akanidanganya kwa lolote lile hata kama ni dogo haitachukua muda nitaujua ukweli au papo hapo kushuku alichoniambia. Na bahati mbaya huwa sikawizia au kuvumilia.... napojua tu namlipua (hata kama si kumuacha).
Hii imepelekea hata huyu g/f wangu wa sasa kuniogopa kiasi fulani japo haniambii na pia sijaonyesha kumchimba ingawa kuna wakati aliniambia X wangu huwa anawaambia watu ananiogopa (anamfahamu).
Ndipo najiuliza mimi ndio nina tatizo ama nipo kwenye mkondo sahihi au ni pepo lol!!
Iko hivi, Ni kwamba naweza kuwa kwenye mahusiano mazuri tu na yakaendelea kwa muda fulani, lakini kwangu inakuwa rahisi sana kuhisi (kama ndivyo ilivyo) g/f wangu anachepuka/kuflirt pembeni na nikishahisi sitalala mpaka nipate ushahidi usiotiliwa mashaka.
Hapo napata amani sana................sijui kwa nini lakini kitendo cha mimi kuhakikisha kwamba nachezewa mchezo huwa ndiyo hitimisho la amani, na kama sitapata nachokitaka sitakuwa "comfortable" (na lazima nitaujua ukweli).
Si hilo tu kuna kusema uongo........Ipo hali kudanganya kwenye mahusiano: Inawezekana tukawa katika hali ya kawaida ya mahusiano lakini kama itatokea akanidanganya kwa lolote lile hata kama ni dogo haitachukua muda nitaujua ukweli au papo hapo kushuku alichoniambia. Na bahati mbaya huwa sikawizia au kuvumilia.... napojua tu namlipua (hata kama si kumuacha).
Hii imepelekea hata huyu g/f wangu wa sasa kuniogopa kiasi fulani japo haniambii na pia sijaonyesha kumchimba ingawa kuna wakati aliniambia X wangu huwa anawaambia watu ananiogopa (anamfahamu).
Ndipo najiuliza mimi ndio nina tatizo ama nipo kwenye mkondo sahihi au ni pepo lol!!