Hivi nikwanini inakuwa hivi mimi sijui nasijui kama na wewe unajua!!

hapo unaangalia upepo unavyo kwenda kama hakubali ukweli unamdanganya kisawa sawa,utakubalije kushindwa..ukimuacha baada ya wiki moja tu atakuwa kesha danganywa.
 
Kwahiyo wadada hawahitaji kutongozwa kweli??wa sansiro hilo nakubali!!lakini dada wa heshima zake hapana yakupasa inamaana kama huna pesa hakuna mahitaji ya mwanamke??je na hao madada wamekuwa rahisi kihivyo?Je wadada wenye pesa zao ukimtaka unafanyeje naye unamwonyesha pesa????
 
kwa kweli mimi sijawahi kumdanganya mwanamke..! nadhani wanaume wanadanganya kwa kua mademu wakali mara nyingi wanakua wagumu sana kumwambia mwanaume ukweli kua anampenda kwa kuogopa kua ataonekana malaya..! na wasichana wakijua kua ni wazuri wanakua na kujiona sana..! sasa ili kumpata ni mpaka umdanganye coz anataka uwe na mvuto kwake..! ila kama wanaume wengi wangekua wanaenda kwa mwanamke anaeelekea kumpenda kwa kweli kusingekua na kudanganyana..!
 
wanawake hawaitaji kutongozwa mkuu . wanahitaji wallet za namna hii tu.

383220_270819136293520_100000963067453_779752_302891921_n.jpg

"I let my blings talk for me,my cash talk for me,my car say hi shawty we can be friend"
 
uzuri wa kupiga fix ni kwamba by time binti anashtukia uwongo, anakuwa kishamegwa zamani....mzee unabaki unatikisa mguu tu huku ukipiga mluzi kwa mbaaliii
 
Huu utandawazi ndio unaosumbua..na ndio unaofanya 'eti siku hizi demu hatongozwi'
raha ya mapenzi ni kuyatendea haki, manamke lazima umtongoze, wa jameni kutongoza pia kuna taha yake!

Mpaka mtoto anapokuja kuingia line mtu unasikia raha...it is a creational process,nice approach,good talking,targeting,hunting eeh hata kama ni mkeo unasema da wife nilikuhangaikia....and feel proud of her.

Wale ma 'domo zege' hoja kama hizi ndio hawataki kabisa kusikia but this is nature, its good to apply and feel it...!


Angalizo...! uongo, ukweli na propaganda nyiiiiingi hizo zote mbwembwe tu...! mpira dk tisini
 
wanapenda hadithi na kwenye hadithi asilimia 99.9 huwa ni uongo,! hadithi yeyote yenye lengo la kumvutia msikilizaji kwa asilimia kubwa ni imaginary!
 
Hiyo style ya kutongoza ni ya miaka ya 70. sasa utamdanganya nini na ili iweje. Binafsi sijawahi kutongeza, bali huwa najikuta kwenye uhusiano tu kupitia mazingira mbalimbali.
 
Daa nakumbuka niliwahi mtoroka town nikajifanya nimempoteza bahatimbaya alini boare tena so mara moja nimemtoroka hahahaha!
 
Kwa uelewa wangu TONGOZO ni kama vile issue ya mpiganaji anaekua kwenye war zone ground, any weapons you have or stay around you may use it!
Iwe ikibidi kwa sarafu, kwa domoni (ya kweli na uongo)
twende kazi.
 
tena mimi ukinijia na gia ya kwamba una gari, sijui nyumba ndio nakupotezea kabisa sababu wengi mnadhani tunapenda magari na nyumba. ha ha ha ha chezea independent woman. njoo ujieleze kama ulivyo no longo longo za uwongo
 
you are right,kuna midemu usipoidanganya humpati.

aaaaaaaah jamani hawa wameshakubuhu siku hizi yaani sioni hata utoafuti kwenye neno kutongoza na kubanjua amri ya sita maana wengine wanatongoza wenyewe sasa yaani ni balaa,hakuna kukataliwa siku hizi inaitwa gusa unate,niguse twende,nivue unilipe, ni***e nikale, basi ni patashika mitaani!!!
 
Back
Top Bottom