NewDawnTz
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 1,667
- 362
Ndugu JF doctors hebu msaada wenu hapa njia panda....
Watu wengi husema ukinywa kahawa hupati usingizi na ukitaka kupata usingizi unywe sijui ndio piriton au valium...
Sasa mimi niko kinyume chake, nikinywa kahawa inanifanya nipate usingizi sana na nikinywa hizo dawa za kuleta usingizi ndio hata kama nilikuwa na kausingizi kadogo basi katapotea...
Am I normal kweli, maana najishtukia atiii!!!
Watu wengi husema ukinywa kahawa hupati usingizi na ukitaka kupata usingizi unywe sijui ndio piriton au valium...
Sasa mimi niko kinyume chake, nikinywa kahawa inanifanya nipate usingizi sana na nikinywa hizo dawa za kuleta usingizi ndio hata kama nilikuwa na kausingizi kadogo basi katapotea...
Am I normal kweli, maana najishtukia atiii!!!