Nataka kupitia barabara ya Bagamoyo-Masata-Msoga bila shaka kama sijakosea ni salama na naweza kuwahi?
Hii Chalinze inasumbua sana na yale mawimbi yanaweza kukuua muda wowote.
Ni nzuri sana barabara imetulia balaa,haina magari kabisa. Hasa upite asubuhi. Ila mbali bagamoyo kuliko ukipita hiyo ya kunyooka. Muda mwingine bora upambane mdogo mdogo na hayo mawimbi,bagamoyo ni mbali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.