gachacha
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 2,581
- 3,928
Watu mna roho ngumu kama za kutu da me siwezi kabisa.
Mwez ulio pita pisi moja tulikuwa tunapunguziana wazungu huko nyuma, sasa nikawa nimesafir nilipo rudi nikamwambia tuonane, akawa chenga, tuonane chenga kama mara 3.
Nikamwambia tuonane tena alinitumia sms, siwez kuonana na ww kwa sbb nina mtu wangu, nilimjibu Hongera na asante.
Baada ya 2 weeks ananitafuta anasema alikuwa ananitania, nikamjibu mm huwa sijalibiwi nimesha pata mwingine na mapenz imebakia story.
Mwez ulio pita pisi moja tulikuwa tunapunguziana wazungu huko nyuma, sasa nikawa nimesafir nilipo rudi nikamwambia tuonane, akawa chenga, tuonane chenga kama mara 3.
Nikamwambia tuonane tena alinitumia sms, siwez kuonana na ww kwa sbb nina mtu wangu, nilimjibu Hongera na asante.
Baada ya 2 weeks ananitafuta anasema alikuwa ananitania, nikamjibu mm huwa sijalibiwi nimesha pata mwingine na mapenz imebakia story.