Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,052
- 12,905
Kila kukicha kunakua na lawama lukuki dhidi ya Rais Magufuli.
Nikiangalia sioni wapi amekosea saana(sijasema makosa hayapo), hizi lawama msingi wake ni nini?
Kuna wanaolalamika kuminywa uhuru wao wa kisiasa na maandamano na mikutano ya kisiasa(hawa wana hoja hasa ukizingatia haya mambo yako legalized kwenye katiba). Kikubwa ambacho watu wangekisemea ni hiki cha uhuru wa kisiasa na mikutano ya kisiasa.
Sasa wanaolalamika zaidi ya hao wanasiasa msingi wa malalamiko wao uko wapi, I don't see a pont kwenye malalamiko yao. Huwezi kusema kuminywa kwa uhuru wa kisiasa kumesababisha wewe usile.
Wanaolalamika nje ya wanasiasa wanalalamika nini, nashangaa kuona hadi wafanyakazi wanaolipwa mishahara wanalalamika wakati hawajawahi kukosa kulipwa mishahara, hopeless kabisa.
Mahala pengi rais anafanya vizuri kuliko vibaya, kubana wakwepa kodi, kubana matumizi yasiyo na msingi ya pesa za umma, kurekebisha sheria kulinda rasilimali zetu na mambo kama hayo bado ni faida kwa taifa kuliko kutofanya hivyo.
Naomba kujua, mnaolalamika, wapi rais anakosea ili niweze kuungana na nyie kwenye kulalamika.
Nikiangalia sioni wapi amekosea saana(sijasema makosa hayapo), hizi lawama msingi wake ni nini?
Kuna wanaolalamika kuminywa uhuru wao wa kisiasa na maandamano na mikutano ya kisiasa(hawa wana hoja hasa ukizingatia haya mambo yako legalized kwenye katiba). Kikubwa ambacho watu wangekisemea ni hiki cha uhuru wa kisiasa na mikutano ya kisiasa.
Sasa wanaolalamika zaidi ya hao wanasiasa msingi wa malalamiko wao uko wapi, I don't see a pont kwenye malalamiko yao. Huwezi kusema kuminywa kwa uhuru wa kisiasa kumesababisha wewe usile.
Wanaolalamika nje ya wanasiasa wanalalamika nini, nashangaa kuona hadi wafanyakazi wanaolipwa mishahara wanalalamika wakati hawajawahi kukosa kulipwa mishahara, hopeless kabisa.
Mahala pengi rais anafanya vizuri kuliko vibaya, kubana wakwepa kodi, kubana matumizi yasiyo na msingi ya pesa za umma, kurekebisha sheria kulinda rasilimali zetu na mambo kama hayo bado ni faida kwa taifa kuliko kutofanya hivyo.
Naomba kujua, mnaolalamika, wapi rais anakosea ili niweze kuungana na nyie kwenye kulalamika.