Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,315
- 7,730
Kama Tanzania ni ya 13 kiuchumi kwa Africa na maisha ndo hivi navyo yaona, how about the rest 33 Countries??
Wanatumia vipimo gani? Labda kama kuna wachumi humu ndani ningeomba msaada.
Fuata link hiyo, sijui kama ni REDET ndo wameifanya hiyo tathmini au la..!!
Mungu ibariki Tanzania na Watanzania wazalendo.Africa's Largest Economies – Top 20 Economies In Africa ‹ The Richest People In The World 2011
Wanatumia vipimo gani? Labda kama kuna wachumi humu ndani ningeomba msaada.
Fuata link hiyo, sijui kama ni REDET ndo wameifanya hiyo tathmini au la..!!
Mungu ibariki Tanzania na Watanzania wazalendo.Africa's Largest Economies – Top 20 Economies In Africa ‹ The Richest People In The World 2011