kaitamarogo
JF-Expert Member
- May 23, 2016
- 461
- 493
Juzi nilisikia binti mmoja ana miaka kumi na minne nikashangaa nikajaribu kufanya hesabu ya miaka ikawa
miaka 3 ndo anaanza darasa la kwanza baada ya miaka 7 akamaliza la saba anamiaka 10, mpaka miaka kumi na 14 yupo form 4 je hakuna miongozo ya muda wa kuanza la kwanza?
miaka 3 ndo anaanza darasa la kwanza baada ya miaka 7 akamaliza la saba anamiaka 10, mpaka miaka kumi na 14 yupo form 4 je hakuna miongozo ya muda wa kuanza la kwanza?