MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 12,686
- 31,470
Nimewaza tu kwa maandishi
Nimewaza tu kwa maandishi manake emoji nyingi ni za vikaragosi labda twende kwenye sura sasamkuu ulikuwa unawaza nn mpk yakaja haya mawazo ya kishenzi hivi maana hakuna mtanzania alishawaza kitu kama hichi
Mimi siyo kiongozi binti yangu.Sura yako.
Huyo mchizi ni kiongozi kwani?Lemutuz....
wafikishie whatsapp ombi lakoNimewaza tu kwa maandishi manake emoji nyingi ni za vikaragosi labda twende kwenye sura sasa
Dada mbona umetokwa povu kama mgonjwa wa kifafa?!Mimi siyo kiongozi binti yangu.
Huyo ni kiongizi wa nini??Lemutuz....
Ana umri sawa na jkHuyo ni kiongizi wa nini??
Ni huwa nalionaga ni lichizi la mitandaoni kuwadi wa mademu
Kuna sura ingine zaidi ya sura ya Magufuli??Nimewaza tu kwa maandishi