Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Wana JF,
Wenye kujua hivi kwa nini mashirika ya ndege kutoka nje ya nchi na mengine ya ndani ya kwenye huduma zao nyingi pamoja na kuuza tiketi lazima ununue kwa dola za kimarekani, baadhi ya mashirika hayo ni,
Emirates Airline
Ethiopian Airline
Qatar Airways
Swiss Air
tena wameweka matangazo pesa inayotumika hapa ni dola za marekani tu, cha kushangaza ukifika sehemu kama China, Hong Kong, Dubai, ukienda kwa ma travel agents kukata tiketi ya kuja Tanzania ukiwapa dola za marekani wanakataa wanakuambia tunapokea pesa za nchi zao tu.
Nawakilisha
Wenye kujua hivi kwa nini mashirika ya ndege kutoka nje ya nchi na mengine ya ndani ya kwenye huduma zao nyingi pamoja na kuuza tiketi lazima ununue kwa dola za kimarekani, baadhi ya mashirika hayo ni,
Emirates Airline
Ethiopian Airline
Qatar Airways
Swiss Air
tena wameweka matangazo pesa inayotumika hapa ni dola za marekani tu, cha kushangaza ukifika sehemu kama China, Hong Kong, Dubai, ukienda kwa ma travel agents kukata tiketi ya kuja Tanzania ukiwapa dola za marekani wanakataa wanakuambia tunapokea pesa za nchi zao tu.
Nawakilisha