Afisa Mteule Drj 2
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 3,586
- 3,932
Wataalamu wa pikipiki ninaomba kujuzwa je ni service gani ambazo natakiwa kuzifanya mara kwa mara kwenye pikipiki ili kuhakikisha chombo kinakuwa salama muda wote.
Moja ya mambo unayohitaji kujua ni kwa mfano oil inatakiwa ibadilishwe baada ya muda gani.Naomba kuelimishwa vitu vyote vya muhimu kwenye service ya pikipiki.
Moja ya mambo unayohitaji kujua ni kwa mfano oil inatakiwa ibadilishwe baada ya muda gani.Naomba kuelimishwa vitu vyote vya muhimu kwenye service ya pikipiki.