Khalu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 525
- 565
Habarini wanajamvi.
Nadhani sote tunafahamu habari za hawa jamaa, na huwenda kuna watu walishapata kukumbana na kasheshe la hawa jamaa.
Japo watu huwa wanahadithiana stori za hawa jamaa kama mambo ya kawaida lakini kiuhalisia hawa jamaa huwa wanaadhibu raia.
Mifano ni mingi, hata mimi mwenyewe nilishawahi kudhibiwa mara moja, na mara moja niliwahi kukoswakoswa, yaani siku ile wangeamua kuniadhibu sijui ingekuwaje???? maana niliingia ndani ya utepe mwekundu waliouweka.
Sasa swali langu ni je hili suala ni sahihi kwa wanajeshi kuwaadhibu raia, yaani hawa jamaa wamepewa green light kuwa wanaweza kumuadhibu raia?
Na je, hili suala tunalitazama vipi kama raia?
Hivi hata wanajeshi wa huko nchi za wenzetu nao wanafanya hivihivi?
Nb: ukitoa sababu zinazohusiana na usalama wa nchi.
Nadhani sote tunafahamu habari za hawa jamaa, na huwenda kuna watu walishapata kukumbana na kasheshe la hawa jamaa.
Japo watu huwa wanahadithiana stori za hawa jamaa kama mambo ya kawaida lakini kiuhalisia hawa jamaa huwa wanaadhibu raia.
Mifano ni mingi, hata mimi mwenyewe nilishawahi kudhibiwa mara moja, na mara moja niliwahi kukoswakoswa, yaani siku ile wangeamua kuniadhibu sijui ingekuwaje???? maana niliingia ndani ya utepe mwekundu waliouweka.
Sasa swali langu ni je hili suala ni sahihi kwa wanajeshi kuwaadhibu raia, yaani hawa jamaa wamepewa green light kuwa wanaweza kumuadhibu raia?
Na je, hili suala tunalitazama vipi kama raia?
Hivi hata wanajeshi wa huko nchi za wenzetu nao wanafanya hivihivi?
Nb: ukitoa sababu zinazohusiana na usalama wa nchi.