rbsharia
Member
- Sep 14, 2011
- 41
- 6
Kwa kawaida hapa nchini kwetu tumezoea kusema mimi nafanya kazi huku napiga shule. Na hapo hapo tunaambiwa kuwa mshika mawili moja humponyoka.
Kwa upande wangu mimi naona sio sahihi sababu ili jambo lifanyike kwa ufanisi linahitaji muda mwingi zaidi. Je, mambo mawili kwa wakati mmoja mtu utaweza kujigawa 50% kwa 50% ?
Kwa upande wangu mimi naona sio sahihi sababu ili jambo lifanyike kwa ufanisi linahitaji muda mwingi zaidi. Je, mambo mawili kwa wakati mmoja mtu utaweza kujigawa 50% kwa 50% ?