vkeisy2006
JF-Expert Member
- Mar 26, 2010
- 229
- 99
sina uhakika ila nauliza kama ni sahihi kua na urafiki na mtu ambaye zamani alikua anatoka na mchumba,mke au mume wako......hivi inawezekana kweli kukajengeka urafiki hapo....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hujasema bado,tueleze ilikuwaje ili upate ushauri kamili .Ukienda kwa daktari ukasema sijisikii vizuri,utaishia kupewa PANADOL.kWA HIYO sema tu mkuu hatumwambii mtu sie.ILIKUWAJE?????sina uhakika ila nauliza kama ni sahihi kua na urafiki na mtu ambaye zamani alikua anatoka na mchumba,mke au mume wako......hivi inawezekana kweli kukajengeka urafiki hapo....
yani ni hivi siujui ukweli ila i think kila mtu alitongozwa kwa mda wake....then wote tukawa bila kujua....halafu mi nilipogundua ananicheat nikamuacha lakini he said ananipenda na ni kwelei akawa na mimi co yule girl mwingine aliendelea na maisha yake na watu wengine..... its almost five years nau.....and i think she wants to be my friend coz sms haiishi....manaendeleaje mpo.....how is u.....hjiki na kile......namjibu ila am not sure kwamb she can be my friend.....nsije nkaibua uhusiano uliokufa hichi ndo nachoogopa.....
yani ni hivi siujui ukweli ila i think kila mtu alitongozwa kwa mda wake....then wote tukawa bila kujua....halafu mi nilipogundua ananicheat nikamuacha lakini he said ananipenda na ni kwelei akawa na mimi co yule girl mwingine aliendelea na maisha yake na watu wengine..... its almost five years nau.....and i think she wants to be my friend coz sms haiishi....manaendeleaje mpo.....how is u.....hjiki na kile......namjibu ila am not sure kwamb she can be my friend.....nsije nkaibua uhusiano uliokufa hichi ndo nachoogopa.....
yani ni hivi siujui ukweli ila i think kila mtu alitongozwa kwa mda wake....then wote tukawa bila kujua....halafu mi nilipogundua ananicheat nikamuacha lakini he said ananipenda na ni kwelei akawa na mimi co yule girl mwingine aliendelea na maisha yake na watu wengine..... its almost five years nau.....and i think she wants to be my friend coz sms haiishi....manaendeleaje mpo.....how is u.....hjiki na kile......namjibu ila am not sure kwamb she can be my friend.....nsije nkaibua uhusiano uliokufa hichi ndo nachoogopa.....
yani ni hivi siujui ukweli ila i think kila mtu alitongozwa kwa mda wake....then wote tukawa bila kujua....halafu mi nilipogundua ananicheat nikamuacha lakini he said ananipenda na ni kwelei akawa na mimi co yule girl mwingine aliendelea na maisha yake na watu wengine..... its almost five years nau.....and i think she wants to be my friend coz sms haiishi....manaendeleaje mpo.....how is u.....hjiki na kile......namjibu ila am not sure kwamb she can be my friend.....nsije nkaibua uhusiano uliokufa hichi ndo nachoogopa.....
yani ni hivi siujui ukweli ila i think kila mtu alitongozwa kwa mda wake....then wote tukawa bila kujua....halafu mi nilipogundua ananicheat nikamuacha lakini he said ananipenda na ni kwelei akawa na mimi co yule girl mwingine aliendelea na maisha yake na watu wengine..... its almost five years nau.....and i think she wants to be my friend coz sms haiishi....manaendeleaje mpo.....how is u.....hjiki na kile......namjibu ila am not sure kwamb she can be my friend.....nsije nkaibua uhusiano uliokufa hichi ndo nachoogopa.....
Hebu tupe short info ilikuwaje wakaachana mpaka ikahamia kwako?:gossip:
mmmh.....hapana hakuna urafiki hapo...mwambie akukome
sina uhakika ila nauliza kama ni sahihi kua na urafiki na mtu ambaye zamani alikua anatoka na mchumba,mke au mume wako......hivi inawezekana kweli kukajengeka urafiki hapo....