Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
Nauliza swali hili kwasababu tumeona waziri mkuu akienda katika eneo husika kukagua ujenzi wa majengo yale zaidi ya mara moja huku akipewa taarifa ya maendeleo ya ujenzi na hilo jengo la TAMISEMI tuliambiwa lenyewe ndio lingekuwa la ghorafa na hivyo ni wazi lingechukua muda zaidi na hizi taarifa naamini waziri mkuu alikuwa anazifikisha kwa Rais.
Sasa cha kujiuliza,TAMISEMI wangeweza kujenga hilo jengo bila ridhaa ya Rais?
Na je,katika vikao ya baraza la mawaziri,walikuwa hawajadiliani maendeleo ya ujenzi wa mji huo wa serikali hapo Dodoma?
Au lengo la agizo la kutaka Waziri na wasaidi wake wahamie katika jengo hilo ambalo halijakamilika ni kutaka tu kuonyesha kuwa mheshimiwa ni mkali(mambo ya kisiasa)?
Na je,hii ndio sababu ya Waziri husika nae kupiga picha kuonyesha ametii agizo hilo(mambo ya kisiasa)?
Halafu ni kweli Waziri kahamia rasimi katika ile ofisi ya mabati tunayoiona mitandaoni?
Najiuliza maswali mengi sana kuhusu hili jambo na sipati majibu.
Sasa cha kujiuliza,TAMISEMI wangeweza kujenga hilo jengo bila ridhaa ya Rais?
Na je,katika vikao ya baraza la mawaziri,walikuwa hawajadiliani maendeleo ya ujenzi wa mji huo wa serikali hapo Dodoma?
Au lengo la agizo la kutaka Waziri na wasaidi wake wahamie katika jengo hilo ambalo halijakamilika ni kutaka tu kuonyesha kuwa mheshimiwa ni mkali(mambo ya kisiasa)?
Na je,hii ndio sababu ya Waziri husika nae kupiga picha kuonyesha ametii agizo hilo(mambo ya kisiasa)?
Halafu ni kweli Waziri kahamia rasimi katika ile ofisi ya mabati tunayoiona mitandaoni?
Najiuliza maswali mengi sana kuhusu hili jambo na sipati majibu.