44mg44
JF-Expert Member
- Jun 16, 2019
- 2,135
- 2,139
Kagere ni mshambuliaj mzuri Sana tena ana uwezo wa kufunga magoli, lakini cha kushangaza hachezeshwi, benchi la ufundi likiona muda umeisha ndio wanamwingiza.
Mechi ya Leo mimi naamini Kagere angecheza muda mrefu angefunga goli.
Sasa tatizo ni nini hapo kwenye bench la ufundi?
Mechi ya Leo mimi naamini Kagere angecheza muda mrefu angefunga goli.
Sasa tatizo ni nini hapo kwenye bench la ufundi?