Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,967
- 10,460
Kujianiri kunahitaji starting point ( vifaa ama mtaji). Je hawa vijana wanavyo?Kujiajiri ndicho kilichobaki
Serikali inabidi tuitegemee kwa 0.3421% katika ajira.
Kujianiri kunahitaji starting point ( vifaa ama mtaji). Je hawa vijana wanavyo?Kujiajiri ndicho kilichobaki
Serikali inabidi tuitegemee kwa 0.3421% katika ajira.
Sawa. Mmewapa pesa ya kukodia mashamba na pesa ya mbegu na dawa? Kuongea ni rahisi kuliko matendoTanzania inaardhi kubwa na nzuri kwaajili ya kilimo!
Nendeni shamba mlime mazao ya chakula mtuletee jijini!
utakufa masikini kijana!
badili gia angani, anza kilimo pia ndoto yako ya kuwa mwalimu haitakufikisha popote kimaisha zaidi ya kuona wenzio wakipga hatua kimaisha
Wachana na ualimu!
Ni sawa usemacho mkuu,lakini kuna levels tofauti za ajira,hiyo 45 unayoizungumzia ni kwa some senior positions huwezi pata first appointment at that age. Na anachokisema mtoa uzi ni kweli matangazo ya ajira nyingi km si zote kwa ss ni age bound hizo hizo.Nani aliyekudanganya kuwa ajira za serikalini umri wa mwisho ni 24yrs?
Umri wa mwisho kuajiriwa serikalini ni miaka 45
Mkuu hiyo ardhi ipo wapi? Au mnaropoka tu nyuma ya keyboard??Tanzania inaardhi kubwa na nzuri kwaajili ya kilimo!
Nendeni shamba mlime mazao ya chakula mtuletee jijini!
Uko mkoa gani huko kusiko na mapori na ardhi ye rutuba?Mkuu hiyo ardhi ipo wapi? Au mnaropoka tu nyuma ya keyboard??
Ni sawa usemacho mkuu,lakini kuna levels tofauti za ajira,hiyo 45 unayoizungumzia ni kwa some senior positions huwezi pata first appointment at that age. Na anachokisema mtoa uzi ni kweli matangazo ya ajira nyingi km si zote kwa ss ni age bound hizo hizo.
Hii ya uvivu umeniandikia me au huyu jamaa wa juu?Uko mkoa gani huko kusiko na mapori na ardhi ye rutuba?
Wacha uvivu mkuu
Ndio kizazi chetu hikiMaisha yakiwa magumu ni kujiunga na Al-shabab au ISIS
NATAMANI SANA KUJIUNGA NA ISIS
Mkuu unachozungumza uko sawa 45 years ni level ya wakurugenzi wakuuuNi sawa usemacho mkuu,lakini kuna levels tofauti za ajira,hiyo 45 unayoizungumzia ni kwa some senior positions huwezi pata first appointment at that age. Na anachokisema mtoa uzi ni kweli matangazo ya ajira nyingi km si zote kwa ss ni age bound hizo hizo.
Ww nakufananisha na viongozi wetu wanao imba vijana jajirini wakati watoto wao wanawachomeka makazini kwa nn wasiwaambia na vijana wao wajiajiriTanzania inaardhi kubwa na nzuri kwaajili ya kilimo!
Nendeni shamba mlime mazao ya chakula mtuletee jijini!
We ukuona tangazo La PCCBNani aliyekudanganya kuwa ajira za serikalini umri wa mwisho ni 24yrs?
Umri wa mwisho kuajiriwa serikalini ni miaka 45
Wanaongea tu hawa ivi uko shamba nakoenda kulima kipindi chote cha kilimo hadi mavuno nakidhi vipi mahitaji yangu ya kibinadamu kula.. kuvaa.. pa kulala. Hawa naumia sana walio kwenye ajira kuwaambia vijana wakalime embu waache kazi ww mifano.Sawa. Mmewapa pesa ya kukodia mashamba na pesa ya mbegu na dawa? Kuongea ni rahisi kuliko matendo
Umeona eeh. Ni rahisi sana kutoa ushauri kwa kitu usicho na uzoefu nacho. Wao wanadhani kujiajiri ni rahisi kiasi hicho.Wanaongea tu hawa ivi uko shamba nakoenda kulima kipindi chote cha kilimo hadi mavuno nakidhi vipi mahitaji yangu ya kibinadamu kula.. kuvaa.. pa kulala. Hawa naumia sana walio kwenye ajira kuwaambia vijana wakalime embu waache kazi ww mifano.
Mkuu kwani unakidhi vipi mahitaji ya bando za internet unazokesha nazo hapa jf, facebook, instagrm na kwingineko! Je umewahi jiuliza kwamba hiyo simu unayotumia ni mtaji wa kununua heka mbili shamba?Wanaongea tu hawa ivi uko shamba nakoenda kulima kipindi chote cha kilimo hadi mavuno nakidhi vipi mahitaji yangu ya kibinadamu kula.. kuvaa.. pa kulala. Hawa naumia sana walio kwenye ajira kuwaambia vijana wakalime embu waache kazi ww mifano.