Azoge Ze Blind Baga
JF-Expert Member
- Mar 8, 2019
- 366
- 1,375
Tangu nije duniani na kuanza kuwajua wanawake na kuanza kuwagegeda sijaona sababu kuu ya kufikia hatua ya kumhonga mwanamke nyumba,gari,na vitu vingine vya thamani hasa yule mwanamke ambaye huna malengo nae ya kimaisha
Mtu unakuta ana mke wake nzuri tu,lakini anaenda kuhonga gari ,nyumba kwa mchepuko
Hivi mwanamke ana utamu gani hasa was kutufanya sisi wanaume tuhangaike kutafuta Mali na kwenda kuwahonga.
Kwa mchepuko raha tunayoipata ni yale manjonjo tunayofanyiwa kisha kukojoa raha inaisha sasa ya nini upoteze Mali ya thamani kwa raha ya dakika 2 tena kwa demu mchepuko.
Nikifuatilia historia yangu sijaona sababu ya sisi wanaume kupoteza Mali kuhonga mwanamke.
Ebu mniambie wenzangu ni nini hasa kinawafanya uhonge gari, nyumba, na mshahara wako au mtaji wako kwa mwanamke? Starehe ipi ya ziada unaipata zaidi tu ya ile inayokuja wakati wa kukojoa?
Mtu unakuta ana mke wake nzuri tu,lakini anaenda kuhonga gari ,nyumba kwa mchepuko
Hivi mwanamke ana utamu gani hasa was kutufanya sisi wanaume tuhangaike kutafuta Mali na kwenda kuwahonga.
Kwa mchepuko raha tunayoipata ni yale manjonjo tunayofanyiwa kisha kukojoa raha inaisha sasa ya nini upoteze Mali ya thamani kwa raha ya dakika 2 tena kwa demu mchepuko.
Nikifuatilia historia yangu sijaona sababu ya sisi wanaume kupoteza Mali kuhonga mwanamke.
Ebu mniambie wenzangu ni nini hasa kinawafanya uhonge gari, nyumba, na mshahara wako au mtaji wako kwa mwanamke? Starehe ipi ya ziada unaipata zaidi tu ya ile inayokuja wakati wa kukojoa?