Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
Nimesikia bwana mkubwa akipiga panga bajeti ya kuweka milango ya kutembea yenyewe (automatic door) kwenye majengo ya watu wengi endapo mtu anaukaribia.
Ameelekeza kuwekwa milango ya manual - kusukumwa kwa mikono.
Swali hiyo teknolojia ya 'automatic door' ina faida gani na zaidi ya ile ya manual?
Kwa haraka haraka kwa kufikiri kwangu ni kuwa automatic door unaepusha, mosi, magonjwa ya kugusana, mfano, ebola.
Pili, unarahisisha watu kupita kwa urahisi zaidi tena kwa kupishana pia. Tatu, hauna rabsha ya kusaidiana kushika mlango wakati ukipita.
Nne, upunguza kuingia kwa wadudu kama nzi au kupoteza ubaridi wa kiyoyozi kwani watu sio wakamilifu, hivyo kusahau kufunga ni obvious
Tano, kuna uimara fulani kwani bawaba za manual door uchoka mapema na mlango unaegama (tilt) na kuleta kelele na pia kukwangua tiles/ sakafu.
Mwisho, ni milango ya karne hii, hivyo ni budi kutumika na kupendezesha jengo.
Points za bwana mkubwa kwenye suala ili zinanifanya nianze 'to beninise' or 'to saananenise' about the University of London.
Ameelekeza kuwekwa milango ya manual - kusukumwa kwa mikono.
Swali hiyo teknolojia ya 'automatic door' ina faida gani na zaidi ya ile ya manual?
Kwa haraka haraka kwa kufikiri kwangu ni kuwa automatic door unaepusha, mosi, magonjwa ya kugusana, mfano, ebola.
Pili, unarahisisha watu kupita kwa urahisi zaidi tena kwa kupishana pia. Tatu, hauna rabsha ya kusaidiana kushika mlango wakati ukipita.
Nne, upunguza kuingia kwa wadudu kama nzi au kupoteza ubaridi wa kiyoyozi kwani watu sio wakamilifu, hivyo kusahau kufunga ni obvious
Tano, kuna uimara fulani kwani bawaba za manual door uchoka mapema na mlango unaegama (tilt) na kuleta kelele na pia kukwangua tiles/ sakafu.
Mwisho, ni milango ya karne hii, hivyo ni budi kutumika na kupendezesha jengo.
Points za bwana mkubwa kwenye suala ili zinanifanya nianze 'to beninise' or 'to saananenise' about the University of London.