segwanga
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 2,789
- 729
Katika bajeti ya mwaka huu serikali ina mpango wa kupunguza hela kwa ajili ya ziara. Cha kushangaza kila wiki JK ana talii nchi za nje.Wiki iliyopita alikuwa Africa kusini kuhudhuria mazishi ya mwanahakati wa kupigania uhuru na leo hii yuko uswis kuhudhuria mkutano wa ILO. Hivi JK amebakiza nchi ngapi ktk dunia kuzitembea?