Hivi ni nani waliokuwa nyuma ya kashifa alizozitoa Mbowe dhidi ya hayati rais Magufuli?

Mbowe gaidi anastahili anachokipata kwa sasa ,ile style ya ujambazi kujifichia kwenye kichaka cha siasa mwisho wake umefika
Kada wa ccm ilala na mfadhili wa chama hamza the great
20210825_220518.jpeg
 
Nikikumbuka kauli za kifedhuli na dharau alizozitoa Mbowe dhidi ya hayati Magufuli,akijua kabisa marehemu hawezi jitetea tena ?, kiukweli ilisikitisha sana kwa waungwana wastaarabu.

Mbowe alishangiliwa sana na wafuasi wake ,na waliomtuma cha kuongea.

Hakika malipo ni hapa hapa duniani,naye anadhalilika jela na hajajua mwisho wake ni upi hapa duniani, kiukweli hakuna ajue atamaliza kwa heshima au kwa dharau.

Je Mbowe alipima kauli zake dhidi ya hayati Magufuli?, akijua marehemu kalimaliza mwendo na asingeweza kujitetea,je?,tukisema Mbowe alipanga kuipa maumivu familia ya hayati na jamaa zao nitakuwa nimekosea?
Watanzania ,mdomo huponza kichwa.siku zote, mabalaa vilevile unaweza jiletea mwenye kwa kupenda
Namtakia Mbowe maisha mema na marefu apate kujifunza hii dunia jinsi ilivyoitwa na wahenga kwamba ni uwanja wa fujo
Laana ya kutukana mtu aliyelala ambaye hawez kujibu inamtafna
 
Mbowe alipata laana na chama chake na hawatainuka tena.

Huwezi kumtukana Magufuli aliyejitoa mhanga alafu ukabaki salama.

Kumtukaba mtu yeyote sio jambo zuri lakini Magufuli sio Mungu au mzazi wa Mbowe, sijui anapataje laana.

Kuna watu mna imani za kichawi sana!! Ukishakufa, huna kitu unaweza kuwafanya walobaki duniani. Ningependa tu kujua unachosema ni mafundisho ya dini gani!
 
Nikikumbuka kauli za kifedhuli na dharau alizozitoa Mbowe dhidi ya hayati Magufuli,akijua kabisa marehemu hawezi jitetea tena ?, kiukweli ilisikitisha sana kwa waungwana wastaarabu.

Mbowe alishangiliwa sana na wafuasi wake ,na waliomtuma cha kuongea.

Hakika malipo ni hapa hapa duniani,naye anadhalilika jela na hajajua mwisho wake ni upi hapa duniani, kiukweli hakuna ajue atamaliza kwa heshima au kwa dharau.

Je Mbowe alipima kauli zake dhidi ya hayati Magufuli?, akijua marehemu kalimaliza mwendo na asingeweza kujitetea,je?,tukisema Mbowe alipanga kuipa maumivu familia ya hayati na jamaa zao nitakuwa nimekosea?
Watanzania ,mdomo huponza kichwa.siku zote, mabalaa vilevile unaweza jiletea mwenye kwa kupenda
Namtakia Mbowe maisha mema na marefu apate kujifunza hii dunia jinsi ilivyoitwa na wahenga kwamba ni uwanja wa fujo

ivi unajua maumivu aliyoacha magufuli kwa familia ya Ben sanane,?
 
Nikikumbuka kauli za kifedhuli na dharau alizozitoa Mbowe dhidi ya hayati Magufuli,akijua kabisa marehemu hawezi jitetea tena ?, kiukweli ilisikitisha sana kwa waungwana wastaarabu.

Mbowe alishangiliwa sana na wafuasi wake ,na waliomtuma cha kuongea.

Hakika malipo ni hapa hapa duniani,naye anadhalilika jela na hajajua mwisho wake ni upi hapa duniani, kiukweli hakuna ajue atamaliza kwa heshima au kwa dharau.

Je Mbowe alipima kauli zake dhidi ya hayati Magufuli?, akijua marehemu kalimaliza mwendo na asingeweza kujitetea,je?,tukisema Mbowe alipanga kuipa maumivu familia ya hayati na jamaa zao nitakuwa nimekosea?
Watanzania ,mdomo huponza kichwa.siku zote, mabalaa vilevile unaweza jiletea mwenye kwa kupenda
Namtakia Mbowe maisha mema na marefu apate kujifunza hii dunia jinsi ilivyoitwa na wahenga kwamba ni uwanja wa fujo
Kama hujalogwa basi labda ulizaliwa njiti , mtu aliyeporwa hela zake kwenye akaunti ndio wa kumsingizia ?
 
Nikikumbuka kauli za kifedhuli na dharau alizozitoa Mbowe dhidi ya hayati Magufuli,akijua kabisa marehemu hawezi jitetea tena ?, kiukweli ilisikitisha sana kwa waungwana wastaarabu.

Mbowe alishangiliwa sana na wafuasi wake ,na waliomtuma cha kuongea.

Hakika malipo ni hapa hapa duniani,naye anadhalilika jela na hajajua mwisho wake ni upi hapa duniani, kiukweli hakuna ajue atamaliza kwa heshima au kwa dharau.

Je Mbowe alipima kauli zake dhidi ya hayati Magufuli?, akijua marehemu kalimaliza mwendo na asingeweza kujitetea,je?,tukisema Mbowe alipanga kuipa maumivu familia ya hayati na jamaa zao nitakuwa nimekosea?
Watanzania ,mdomo huponza kichwa.siku zote, mabalaa vilevile unaweza jiletea mwenye kwa kupenda
Namtakia Mbowe maisha mema na marefu apate kujifunza hii dunia jinsi ilivyoitwa na wahenga kwamba ni uwanja wa fujo
Magufuli alipopanga kumuua lisu alipanga kuipa furaha familia ya lissu?
 
Mbowe gaidi anastahili anachokipata kwa sasa ,ile style ya ujambazi kujifichia kwenye kichaka cha siasa mwisho wake umefika
Mbowe hatujawahi kusikia ameuwa Ila nyie maccm mmeuwa wengi including walioponea tundu la sindano Sasa Nani gaidi Kati yenu na mbowe.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom