troiker
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 1,386
- 2,168
Nikikumbuka kauli za kifedhuli na dharau alizozitoa Mbowe dhidi ya hayati Magufuli,akijua kabisa marehemu hawezi jitetea tena ?, kiukweli ilisikitisha sana kwa waungwana wastaarabu.
Mbowe alishangiliwa sana na wafuasi wake ,na waliomtuma cha kuongea.
Hakika malipo ni hapa hapa duniani,naye anadhalilika jela na hajajua mwisho wake ni upi hapa duniani, kiukweli hakuna ajue atamaliza kwa heshima au kwa dharau.
Je Mbowe alipima kauli zake dhidi ya hayati Magufuli?, akijua marehemu kamaliza mwendo na asingeweza kujitetea,je?,tukisema Mbowe alipanga kuipa maumivu familia ya hayati na jamaa zao nitakuwa nimekosea?
Watanzania ,mdomo huponza kichwa.siku zote, mabalaa vilevile unaweza jiletea mwenye kwa kupenda .
Namtakia Mbowe maisha mema na marefu apate kujifunza hii dunia jinsi ilivyoitwa na wahenga kwamba ni uwanja wa fujo
Mbowe alishangiliwa sana na wafuasi wake ,na waliomtuma cha kuongea.
Hakika malipo ni hapa hapa duniani,naye anadhalilika jela na hajajua mwisho wake ni upi hapa duniani, kiukweli hakuna ajue atamaliza kwa heshima au kwa dharau.
Je Mbowe alipima kauli zake dhidi ya hayati Magufuli?, akijua marehemu kamaliza mwendo na asingeweza kujitetea,je?,tukisema Mbowe alipanga kuipa maumivu familia ya hayati na jamaa zao nitakuwa nimekosea?
Watanzania ,mdomo huponza kichwa.siku zote, mabalaa vilevile unaweza jiletea mwenye kwa kupenda .
Namtakia Mbowe maisha mema na marefu apate kujifunza hii dunia jinsi ilivyoitwa na wahenga kwamba ni uwanja wa fujo