Centrehalf
JF-Expert Member
- Jun 9, 2013
- 509
- 145
Mimi mantiki ya thread yake sijaielewa kabisa,maana ukiangalia kichwa cha habari na maudhui yake haviendani kabisa.ninavyoona mm ww ndio huna mshauri maana hata mazingira ya kisiasa hapa nchini umeshindwa kuyasoma?ukiona watu wazima tena toka chama tawala hawatulii ujue mambo hayaendi vizuri.tangu umehamia ccm ni lini ccm walifanya ziara tokea zanziba hadi bara bila kupumzika kama safari hii? Jiulize alafu unipe jibu.