lendila
JF-Expert Member
- Sep 26, 2012
- 5,806
- 4,370
Hivi ni nani hasa anayetakiwa kutoa maoni nchini kwetu Tanzania?ni mwana ccm, mwanaukawa, msomi, au mtu wa aina gani anayetakiwa kutoa maoni? je maoni yanayotakiwa kutolewa,na mwananchi ni maoni ya aina gani?
Katiba inatoa haki ya mwanachi kutoa maoni yake,lkn ukitoa maoni unaitwa mchochezi,hivi ni maoni yapi hasa yanatakiwa kutolewa na wananchi wa Tanzania
Mwenye jibu tafadhali
Katiba inatoa haki ya mwanachi kutoa maoni yake,lkn ukitoa maoni unaitwa mchochezi,hivi ni maoni yapi hasa yanatakiwa kutolewa na wananchi wa Tanzania
Mwenye jibu tafadhali