Umekisoma kitabu halafu umekuja kutuchosha tukutafutie AUTHOR watanzania banahNimekuwa nikijaribu kutafuta mwandishi wa hadithi fupi fupi za sungura na fisi na sijafanikiwa
Je kuna mwenye kumfahamu mtu huyo?
Chief hebu niambie ni wapi ulisoma mwandishi wa hizo hadithi!!Umekisoma kitabu halafu umekuja kutuchosha tukutafutie AUTHOR watanzania banah
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo unapanic haraka sana, jifunze kuthibiti hasira,Chief hebu niambie ni wapi ulisoma mwandishi wa hizo hadithi!!
Yani unajikuta unataka kuwa nje ya box wakati huwezi!!
Afu inaonekana labda hukusoma shule za kitanzania ndio mana umejitoa katika utanzania kwa kutudharau!
Aliesoma vile vitabu katika shule za awali na msingi kamwe hawezi kuwa na upeo wa kudharau swali langu
Hongera kwako unaemjua na hukusema