baba anjela
JF-Expert Member
- Mar 17, 2013
- 430
- 310
Hivi ni nani anaweza kutueleza tulitoka wapi? Tupo wapi na tunakwenda wapi?
- Sababu mpaka sasa nimeshindwa kutambua ni nini kinaendelea na ni nini kilitokea. Nani yupo sahihi na nani hayupo sahihi?
Fumbo ili litapata majibu pale wausika wote watakapo fikishwa katika vyombo vya dola, utetezi wao utatupa majibu yote..bila kufanya hivyo nitaendelea au tutaendelea kubaki njia panda.
Wahusika wote wapo na wengine bado ni viongozi ndani ya Serikali yetu.
Vyombo vya dola pekee ndivyo vinavyoweza kutupa majibu ya hizi sintofahamu. Au kama hataki kufukua makaburi aunde kwanza tume kuchunguza miradi yote kutambua ufanisi wake na faida zake.
Akijiridhisha na kuona kuna sababu ya kuiendeleza basi hakuna shida na kama kuna madudu afutilie mbali.
- Sababu mpaka sasa nimeshindwa kutambua ni nini kinaendelea na ni nini kilitokea. Nani yupo sahihi na nani hayupo sahihi?
Fumbo ili litapata majibu pale wausika wote watakapo fikishwa katika vyombo vya dola, utetezi wao utatupa majibu yote..bila kufanya hivyo nitaendelea au tutaendelea kubaki njia panda.
Wahusika wote wapo na wengine bado ni viongozi ndani ya Serikali yetu.
Vyombo vya dola pekee ndivyo vinavyoweza kutupa majibu ya hizi sintofahamu. Au kama hataki kufukua makaburi aunde kwanza tume kuchunguza miradi yote kutambua ufanisi wake na faida zake.
Akijiridhisha na kuona kuna sababu ya kuiendeleza basi hakuna shida na kama kuna madudu afutilie mbali.