Hivi ni nani aliyewapiga "Pini"Wabunge wa CUF katika mijadala ya kitaifa?

Kifaru86

JF-Expert Member
Apr 22, 2017
1,734
3,802
Kwa wale wafuatiliaji kuhusu mijadala ya nchi na siasa zinavyokwenda unakuta wapinzani wanaosikika katika mijadala ya kudeal na kuibana serikali ni CHADEMA na kidogo ACT bungeni kupitia kwa zitto kabweee.

CHADEMA unakuta wapo akina Lissu,Mdee,Bulaya,Mnyika,Mbowe etc haipiti week au mwezi ni lazima watasikika na kuandikwa magazetini.

Lakini upande wa CUF sijui wamepatwa na nini yaani tangia issue ya sukari hadi makanikia sijasikia hoja yoyote ya mbunge wa CUF BUNGENI AKIONGEA angalau wananchi wakamtambua tuna wabunge lakini sasa wenyewe hadi sasa wapoo kimyaaa kama wamepigwa pinni mpka najiuliza ivi ni nani aliyewapiga pinni hawa wabungeeee wa CUF
 
Kwa wale wafuatiliaji kuhusu mijadala ya nchi na siasa zinavyokwenda unakuta wapinzani wanaosikika katika mijadala ya kudeal na kuibana serikali ni CHADEMA na kidogo ACT bungeni kupitia kwa zitto kabweee.

CHADEMA unakuta wapo akina Lissu,Mdee,Bulaya,Mnyika,Mbowe etc haipiti week au mwezi ni lazima watasikika na kuandikwa magazetini.

Lakini upande wa CUF sijui wamepatwa na nini yaani tangia issue ya sukari hadi makanikia sijasikia hoja yoyote ya mbunge wa CUF BUNGENI AKIONGEA angalau wananchi wakamtambua tuna wabunge lakini sasa wenyewe hadi sasa wapoo kimyaaa kama wamepigwa pinni mpka najiuliza ivi ni nani aliyewapiga pinni hawa wabungeeee wa CUF
wabunge wa kafu wanasikitia pesa yao wametupa kwa kukodi ofisi hewa magomeni
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom