Simbamwene asante kwa elimu,kwa hiyo hao jamaa wengine walio simamishwa ni yeye Chizi aliwachagua?Mh. Omar Nundu , ndio alimchagua Chizi, Ila kuna jamaa kibao nae Chizi kaajiri je walifuata taratibu?
Nadhani mwakyembe ana tatizo kidogo na watawala waliopita kwani Chizi alikuwa kaimu mkurugenzi. Alishika nafasi ya Mataka D. Sasa utaratibu gani aukufuatwa? Mwakyembe kamsimamisha Chizi na kateua mpya kwa staili ile ile ya Nundu. Labda ni mambo ya ndani sana na tutayaelewa vyema baada ya ufafanuzi wa barua ya Waziri kuwa wazi au tuhuma hizi kuwa wazi zaidi. Nundu alikuwa waziri na Mwakyembe ni waziri ...
Unamaanisha"CHIZI"?Jina lake limemponza. Akiweza alibadilishe. Analo kosa alilofanya jaribuni kufuatilia na kufanya research msiwe wepesi kulaumu.