fasiliteta
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 2,165
- 3,655
Kwa sasa ni;
Kasim Majaliwa
Dr bashiru
Gwajima
Humphrey polepole
Hussein mwinyi
Kasim Majaliwa
Dr bashiru
Gwajima
Humphrey polepole
Hussein mwinyi
1- JK Nyerere
2- JK Kikwete ( Mzalendo, anapendwa naturally tu na wapinzsni, watanzania hata ndani ya CCM kama ilivyo kwa Lowassa )
3- Warioba Sinde ( Mzalendo wa nchi )
4- Dk Slaa ( huyu katumikishwa na Mbowe, kiasi kwamba hivi karibu alikuwa kana kachanganyikiwa baada ya kusalitiwa )
5- Freeman Mbowe ( Huyu biashara ya siasa anaijua vizuri )
6- Edward Lowassa ( anapendwa ndani ya CCM na watanzania, alikuwa akichukiwa na wapinzani kabla ya 2015 )
7- Zitto Kabwe ( huyu ni mgumu sana kumfanya msukule, anachoona mwenyewe ni sahihi kufanya, anatekeleza bila kujali wengine wataonaje )
Muongeze JK WA Msoga na Mwinyi Baba.Samia Hassan Suluhu na Freeman Aikael Mbowe bila kumsahau Hussein Alli Mwinyi.
Hawa watu ustaarabu wao umetukuka!
Mwigulu: hata ukiandamana chumbani kwako unavunja sheria.Hawa nawaona wanafaa zaidi : Sabaya, Makonda, Ally Hapi, Alexandre Nyeti, Mwigulu Nchemba, Chalamila na Kassim Majaliwa.
Sabaya: Mbowe na ujanja wake katepeta . Anabakiwa kutengeneza majungu .Ndio ni kweli walifaa na wao kua alipo baba yao yule alikua anawapa kiburi na kujiita mtukufu..
Wewe umeelewa kuliko mwenye swali ?Mkuu unaelewa ulichojibu?
Alishaharibu kitambo kwa kujikomba kwa mabeberu!Tundu Lissu Kwa mtazamo wangu ameweza kukonga nyoyo za wanamabadiliko wengi Kwa wakati huu..
Tunapojadili na kufikiri hili, tuzingatie vigezo vipi?.Kama mada inavyojieleza hapo juu, kila nchi kwa nyakati tofauti hujaaliwa kuwa na mwanasiasa au wanasiasa wenye kujaaliwa vipaji vikubwa vya uongozi kiasi cha kugeuka kua kichocheo na hamasa kubwa kwa wanasiasa wanaoibukia na hata wasio wanasiasa. Ndipo nikajiuliza tunao wanasiasa wa namna hiyo kama nchi kwa sasa?
Tatizo la Nyerere ni moja, hata kama humpendi kwa kiasi gani yaani kuna kitu tu utakubaliana naye.Mpaka sasa siasa za Tanzania ziko chini ya kivuli cha Mwalimu Nyerere. Nchini kwetu unaruhusiwa kumkashifu na kumkejeli Mungu, lakini huruhusiwi kabisa kumkashifu wala kumsema vibaya Mwalimu Nyerere. Kila kiongozi/mwanasiasa wa Tanzania anayeibukia jamii humpima kwa kumvalisha viatu vya Nyerere na kama havitamtosha basi ataonekana ana walakini fulani hata kama ni mtu mzuri.
Tanzania ina miaka 60, mpaka sasa kumekuwa na vizazi vitatu. Sehemu kubwa ya maisha ya vizazi hivi yamejengwa kwenye msingi wa Falsafa za mwaka 1967 (Ujamaa na Kujitegemea): Aidha kwa mazuri yake au mabaya yake. Hivyo nadhani unavyozungumzia sura ya siasa za Tanzania tokea mwaka 1967 hadi miaka mingine ijayo, zimwi la Nyerere halina mpinzani.
Nyerere's Ghost will haunt this state for many generations to come......
Either for better or worse....
Fala weweSabaya
Itakuwa ngumu sana kwako kujadili hoja hii iwapo utaongozwa na hisia zako za ndani tu pasipo kuzingatia "FACTS" muhimu kumhusu mtu huyo unayemjadili...Alishaharibu kitambo kwa kujikomba kwa mabeberu!
Kweli wewe kubwa jinga... Sabaya na kashfa zote bado unamweka kwenye list?Hawa nawaona wanafaa zaidi : Sabaya, Makonda, Ally Hapi, Alexandre Nyeti, Mwigulu Nchemba, Chalamila na Kassim Majaliwa.
Kama mada inavyojieleza hapo juu, kila nchi kwa nyakati tofauti hujaaliwa kuwa na mwanasiasa au wanasiasa wenye kujaaliwa vipaji vikubwa vya uongozi kiasi cha kugeuka kua kichocheo na hamasa kubwa kwa wanasiasa wanaoibukia na hata wasio wanasiasa. Ndipo nikajiuliza tunao wanasiasa wa namna hiyo kama nchi kwa sasa?
Sijaelewa ila mwenye swali kauliza mwanasiasa wa sasa mwenye mvuto, je huyo Nyerere ni wa sasa, ama hata yuko hai?Wewe umeelewa kuliko mwenye swali ?
HAKUNA MWANASIASA BORA DUNIANI KUMZIDI MAGUFULIKama mada inavyojieleza hapo juu, kila nchi kwa nyakati tofauti hujaaliwa kuwa na mwanasiasa au wanasiasa wenye kujaaliwa vipaji vikubwa vya uongozi kiasi cha kugeuka kua kichocheo na hamasa kubwa kwa wanasiasa wanaoibukia na hata wasio wanasiasa. Ndipo nikajiuliza tunao wanasiasa wa namna hiyo kama nchi kwa sasa?