Jibu sahihi niMtoa mada kauliza wanasiasa wa sasa, mtu anataja Nyerere na Sokoine, hata kama ni hulka ya kukurupuka wengine wamepita kiasi...
Hili taifa lenu lina mapepo makubwa sanaMpaka sasa siasa za Tanzania ziko chini ya kivuli cha Mwalimu Nyerere. Nchini kwetu unaruhusiwa kumkashifu na kumkejeli Mungu, lakini huruhusiwi kabisa kumkashifu wala kumsema vibaya Mwalimu Nyerere. Kila kiongozi/mwanasiasa wa Tanzania anayeibukia jamii humpima kwa kumvalisha viatu vya Nyerere na kama havitamtosha basi ataonekana ana walakini fulani hata kama ni mtu mzuri.
Tanzania ina miaka 60, mpaka sasa kumekuwa na vizazi vitatu. Sehemu kubwa ya maisha ya vizazi hivi yamejengwa kwenye msingi wa Falsafa za mwaka 1967 (Ujamaa na Kujitegemea): Aidha kwa mazuri yake au mabaya yake. Hivyo nadhani unavyozungumzia sura ya siasa za Tanzania tokea mwaka 1967 hadi miaka mingine ijayo, zimwi la Nyerere halina mpinzani.
Nyerere's Ghost will haunt this state for many generations to come......
Either for better or worse....
Ndio watz walivyo, wapo kama li benderaItakuwa ngumu sana kwako kujadili hoja hii iwapo utaongozwa na hisia zako za ndani tu pasipo kuzingatia "FACTS" muhimu kumhusu mtu huyo unayemjadili...
Hoja ya "mababeru" umeibeba tu na kuiweka ktk akili yako kwa kuwa "umesikia watu wanasema"..
Lakini ukitakiwa ku - prove ukweli wa hoja hii, mimi najua kabisa kuwa utaishia kujiuma uma tu na labda unaweza kujijitetea kwa kusema " mimi nimesikia tu pale kwenye kijiwe cha kahawa cha mzee Mudi wanasema hivyo na mimi nikaamini"
Hata ukiulizwa ueleze maana ya "beberu" au "mabeberu" na mfano wake, pengine ukashindwa kueleza lolote...
Poor you...
Samia Suluhu HassanKama mada inavyojieleza hapo juu, kila nchi kwa nyakati tofauti hujaaliwa kuwa na mwanasiasa au wanasiasa wenye kujaaliwa vipaji vikubwa vya uongozi kiasi cha kugeuka kua kichocheo na hamasa kubwa kwa wanasiasa wanaoibukia na hata wasio wanasiasa. Ndipo nikajiuliza tunao wanasiasa wa namna hiyo kama nchi kwa sasa?
Daa mapepo tena?Hili taifa lenu lina mapepo makubwa sana
Kwa hiyo kupigwa risas kunakufanya kiongozi mwenye ushawish?Wanaojua impact ya bulet watampa lisu
Ambao ni wangapi katika wapiga kura tulionao?Wanaojua impact ya bulet watampa lisu
Hakika.7- Zitto Kabwe ( huyu ni mgumu sana kumfanya msukule, anachoona mwenyewe ni sahihi kufanya, anatekeleza bila kujali wengine wataonaje )