Hivi ni Mkoa gani Tanzania unaongoza kwa wakazi wake kutumia simu za kichina

Ritz

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
46,884
32,282
Wanabodi.

Wadau wa Chit-Chat nipo kwenye utafiti fulani naombeni mnisaidie kufahamu ni mkoa gani Tanzania wakazi wake wanaongoza kwa kutumia simu za kichina.
 
hahahaha kwa sasa kukuta cm za kiukweli ni ngumu'
karibia kila mtz anatumia simu ya kichina jombaa
za ukweli sasa zinahesabika
 
Songea wanatisha, ukienda madukani hakuna original hata moja full mchina every where mpaka kwa raia, wachache sana wanatumia original, na hawa unakuta wamenunua DSM
 
Yeah.........Ni kweli kabisa Shinyanga, Tabora na Mwanza kote huko ni MCHINA kwa kwenda mbele..............

Nimesahau na SINGIDA pia...........
 
mtambuzi uko sahihi kabisa hawa watani zangu wasukuma si mchezo, enzi zile za philips wakitamta philipus mtaniii mnatisha. Sasa hivi wamegeukia mchina full miziki maana simu ya mchina ikiita kidogo tu ni full blast
 
Nasikia hata Mtwara ni mchina kila kona...
 
Nasikia hata Mtwara ni mchina kila kona...

Mkuu ritz ukipeleka simu ya kichina inayowaka na ina line nne basi unaweza kuondoka na ng'ombe watano kwa simu moja toka kule Bariadi ama Maswa.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu ritz ukipeleka simu ya kichina inayowaka na ina line nne basi unaweza kuondoka na ng'ombe watano kwa simu moja toka kule Bariadi ama Maswa.

ha haa haaa Mkuu wangu Kimbunga tatizo la simu za kichina kuzima kelele kuwasha kelele..
 
Last edited by a moderator:
ha haa haaa Mkuu wangu Kimbunga tatizo la simu za kichina kuzima kelele kuwasha kelele..

Mkuu ritz kama unafanya market research basi wewe jua soko lipo Shy na Simiyu! Wewe toa order tu kwa hao Wachina lakini hakikisha simu ina muziki, TV, na Radio pia ina marangirangi yanoyomeremeta. Hapo hakika utapata soko huko. Wanapenda makelele hao ndio maana wanaenda kuchunga ng'ombe huku wana radio cassette wanakula muziki.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu ritz kama unafanya market research basi wewe jua soko lipo Shy na Simiyu! Wewe toa order tu kwa hao Wachina lakini hakikisha simu ina muziki, TV, na Radio pia ina marangirangi yanoyomeremeta. Hapo hakika utapata soko huko. Wanapenda makelele hao ndio maana wanaenda kuchunga ng'ombe huku wana radio cassette wanakula muziki.

Mkuu wangu Kimbunga nimekupata vizuri hujue saizi Mchina katoa simu mpya line sita ina TV na Radio.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom