Hivi ni mkoa gani hata kwa dawa huwezi kwenda kuishi uko[emoji24][emoji24]??

Hahaa mbna naskia bora Kageraa Sumbawanga wako fire mbaya mbovu
Katika nchi hii sijawahi ona watu wakarimu Kama wa sumbawanga... Unajua kwanini nikiwa mgeni mi na wenzangu 99 tulifukuzwa shule kwa siku 21 tukaenda mjini sumbawanga , tukakatibishwa na mama mmoja mwenyekiti tukaishi hapo kwa siku hizo zote .. isitoshe siku ya mwisho akatufutia wazazi feki wa kuripoti nao shuleni
 
Katika nchi hii sijawahi ona watu wakarimu Kama wa sumbawanga... Unajua kwanini nikiwa mgeni mi na wenzangu 99 tulifukuzwa shule kwa siku 21 tukaenda mjini sumbawanga , tukakatibishwa na mama mmoja mwenyekiti tukaishi hapo kwa siku hizo zote .. isitoshe siku ya mwisho akatufutia wazazi feki wa kuripoti nao shuleni
Hahaha
 
Katika nchi hii sijawahi ona watu wakarimu Kama wa sumbawanga... Unajua kwanini nikiwa mgeni mi na wenzangu 99 tulifukuzwa shule kwa siku 21 tukaenda mjini sumbawanga , tukakatibishwa na mama mmoja mwenyekiti tukaishi hapo kwa siku hizo zote .. isitoshe siku ya mwisho akatufutia wazazi feki wa kuripoti nao shuleni
Afrika nzima nchi ya Tanzania ndio inawatu wakarimu.. karibu mikoa yote tanzania ni wakarimu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom