if cap fits
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 1,381
- 1,872
Ccm tu ila mikoa mingine naishi tu
How about Kilimanjaro,Arusha,Tanga?...hii mikoa pia iko mipakaniKwakifupi mikoa yote ilioko mipakani ikiongozwa na Kigoma, katavi, mtwara,
Nb.
Mbeya is excluded
HayaNo no
Tena nilikusahau huko, zanzibar inaongoza yaan kukavu balaaArusha na mikoa yote ya Zanzibar
AhahahahaaaAtakayeitaja ruvuma namtukana
Aiseee napachukiaTena nilikusahau huko, zanzibar inaongoza yaan kukavu balaa
Kibaya sana kule, na hasa ukiwa mkristo ndo kabisaa
Siwez kaa hukoo mkuuHow about Kilimanjaro,Arusha,Tanga?...hii mikoa pia iko mipakani
Katika nchi hii sijawahi ona watu wakarimu Kama wa sumbawanga... Unajua kwanini nikiwa mgeni mi na wenzangu 99 tulifukuzwa shule kwa siku 21 tukaenda mjini sumbawanga , tukakatibishwa na mama mmoja mwenyekiti tukaishi hapo kwa siku hizo zote .. isitoshe siku ya mwisho akatufutia wazazi feki wa kuripoti nao shuleniHahaa mbna naskia bora Kageraa Sumbawanga wako fire mbaya mbovu
sasa si ungempeleka kwa hapo Ngalimi faster.Siku ya kwanza mdogo wangu kafika Arusha nimetoka kumpokea ananiuliza mbona sioni hao wanaoitwaga machalii wa kuvaa mabuti na mashati makubwa
HahahaKatika nchi hii sijawahi ona watu wakarimu Kama wa sumbawanga... Unajua kwanini nikiwa mgeni mi na wenzangu 99 tulifukuzwa shule kwa siku 21 tukaenda mjini sumbawanga , tukakatibishwa na mama mmoja mwenyekiti tukaishi hapo kwa siku hizo zote .. isitoshe siku ya mwisho akatufutia wazazi feki wa kuripoti nao shuleni
Afrika nzima nchi ya Tanzania ndio inawatu wakarimu.. karibu mikoa yote tanzania ni wakarimu.Katika nchi hii sijawahi ona watu wakarimu Kama wa sumbawanga... Unajua kwanini nikiwa mgeni mi na wenzangu 99 tulifukuzwa shule kwa siku 21 tukaenda mjini sumbawanga , tukakatibishwa na mama mmoja mwenyekiti tukaishi hapo kwa siku hizo zote .. isitoshe siku ya mwisho akatufutia wazazi feki wa kuripoti nao shuleni