Sa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 4,975
- 9,717
Kigoma.
Kigoma kumesahaulika mkuu....pagumu sana huko aiseeee....mpaka network ni chenga tupu
Ona comment ucheke
Siku ya kwanza mdogo wangu kafika Arusha nimetoka kumpokea ananiuliza mbona sioni hao wanaoitwaga machalii wa kuvaa mabuti na mashati makubwa 😅😅arusha aiseee maana unakutana na watu wanamiguu mikubwa sana duniani kote maana si kwa mabuti yale🤣🤣🤣🤣🤣