Hivi ni matumizi ya busara kuendesha mchakato wa wagombea Urais huku mnajua hamna uhakika wa kushinda?

Idugunde

JF-Expert Member
May 21, 2020
6,273
6,637
CHADEMA kwenye kura za Urais safari hii hampati hata kura laki nne. Chama chenu kimeshakuwa kama walking dead man. Mnachofanyaya ni kama kujichetua akili ili muwaonyeshe wananchi kuwa na nyie bado mpo kwenye ulingo.

Bora mngeachana na sarakasi za kitoto za kuendesha zoezi la kutafuta mgombea wa urais wakati mnatambua hata kula laki nne ni mbinde Mbona wenzenu TLP wamekubali matokeo kuwa Rais Magufuli amefanya yale waliokuwa wanayataka na sasa wametuliza boli.

Ninyi wenyewe mlikuwa mnasema mnataka rais kama huyu ambae atapambana na ufisadi na kusimamia mali ya umma. Hayo ameyafanya na wananchi wanamkubali kwa asilimia mia.

Sasa hao wagombea wenu mnaohangaika kuwachuja mnawapeleka wapi? Maana hata ubunge tu hawawezi kupata.

Kwanini msitumie busara na kukaa pembeni kisha kumuunga mkonoa JPM!
 
Maendeleo hayana chama kamanda. Tujenge nchi yetu
IMG-20200625-WA0005.jpg

IMG-20200625-WA0006.jpg
 
Kuna ulazima gani wa kuendelea na demokrasia ya vyama vingi ikiwa CCM inashinda kila siku?
Ndio,labda ikitokea huko mbele baada ya miaka 100 Ccm ikishindwa kuperfom kuna wapinzani makini wanaweza kuchukua nchi.
 
CCM mtashinda kwa lipo?
1.hakuna Akira kwa vijana
2:hakuna nyongeza ya mishahara
3:hakuna Uhuru wa kujieleza ndani ya chama na ndani ya nchi
6:barabara ni mbovu
7:hakuna maji ya uhakika
8hakuna umeme wa uhakika
9:vifaa vya ujenzi Bei ghali
10:Kodi zisizo kichwa Wala miguu , kumwumiza mnyonge
11:Ufisadi wa kutosha ulioshamiri awamu hii
12:Hakuna fisadi hata mmoja aliyekamagwa
13:Mil 50 kwa Kila Kijiji ziko wapi?
14:Kompyuta kwa Kila Mwalimu ziko wapi?
15:Ubovu wa hospitali za umma

Na pale mtakapotaka kufanya kale Yale mliyofanya kwenye Uchaguzi mdogo,tutakachowafanyia ni"bullet to the head".
 
Malawi wametuonesha njia namna ya kuachana na ukikteta tusife moyo siku inakuja historia mbovu ya jiwe itaandikwa manake sio yeye atakuwa aki-dictate uandikaji huo.
Uzuri ni kuwa uchaguzi unafanyika kwa uhuru na haki hapa Tanzania.
 
Nyie watu ni wajinga sana halafu ndio nyie tunawakuta mtaani baba ajalipwa mafao, wewe huna ajira mwaka3 upo unapigwa joto na kuzungusha bahasha huku wadogo zako wanahitaji ada.
msomi wa chuo kikuu hawezi ata kuleta Arguments za maana
 
Nyie watu ni wajinga sana halafu ndio nyie tunawakuta mtaani baba ajalipwa mafao, wewe huna ajira mwaka3 upo unapigwa joto na kuzungusha bahasha huku wadogo zako wanahitaji ada.
We mpuuzi ulitaka watanzania wote waajiriwe na serikali?
 
Orodha ndefu vitu vyote vya kusadikika. Njoo huku kijijini upate uhalisia wa mambo.
Mi Trip moja Mjini,Trip moja shamba,Tanzania hayo yote niliyokeambia yapo.Ila wewe kwa sababu unaambiwa tu halafu unaandika huwezi jua.

Mfano wa barabara,Kuna barabara amesimamia Magufuli akiwa Kama waziri lakini Leo ni mbovu mwanzo mwisho,Zina mashimo ya kutosha.wakati Kuna Billion of money zilitumika.Barabara ya Dar-Tunduma kwa Nini Hadi Leo wameishia Igawa?Muulize mwanaccm mwenzio yeyote ,hutopata majibu ya maaana.
 
Tunajua JPM hawezi siasa za ushindani, ndio maana zinatumika nguvu chafu na nzuri, kuhakikisha huyo JPM haingii kwenye ushindani. Ni hivi, lazima ashindanishwe, tena chini ya tume huru ya uchaguzi. Kisha uje utoe mrejesho baada ya matokeo.
 
Huku Zanzibar CCM tunashindanisha Wagombea 30 kura za maoni lakini hatuna uhakika wa kumshinda maalim seif na act wazalendo yake Bali tunamtegemea kada wetu jecha atafanya yake.
 
Back
Top Bottom