Hivi ni makampuni gani ambayo yalifanya shughuli zake kihalali kabisa nchini, na yalifunga shughuli baada ya utawala wa Magufuli kuingia madarakani?

We ndo unachanganya Barrick ndo msimamizi wa migodi yote tangu zamani yaani mgodi wa Bulyanhuru,North Mara nk, BUlyanhulu Gold Mine aweje msimamizi.
walichokifanya wazungu ni kutenganisha tu share zilizokuwa kwenye migodi yao ya Africa na migodi mingine duniani ndo hao Barrick wakabadilisha jina kwa migodi iliyopo Africa kuwa Africa Barrick Gold mine.
ile ilikuwa ikiitwa BGML ikawa Africa Barrick Gold mine Bulyanhulu,na Buzwagi Gold Mine ikiitwa Africa Barrick Gold Mine Buzwagi nk.
Jamaa unachanganya sana mafile, ngoja nikupe historia kwa mtiririko, barrick ni kampuni la Canada lenye migodi America na Africa. Kwa upande wa Africa lilianza na mgodi wa bulyanhulu kwa kununua kampuni ya kmcl na kuiita bgml, baadae ikaanza kuongeza migodi mingine kama turawaka mgodi wa copper kule Zambia, so barrick wakaona waanzishe kampuni ya kusimamia migodi ya Africa ndo ikaundwa African barrick/abg, abg ikiwa under operations ikanunua migodi mingine ya north Mara na buzwagi kutoka ktk kampuni la pangea minerals, haohao abg wakajibrand Jina kutoka abg na kuwa acacia, na acacia wakiwa ktk operation waliweza kufunga migodi ya turawaka na ule wa copper huko Zambia na kubaki na migodi mitatu ya bulyanhulu, buzwagi na north Mara, kijitanzu walichounda barrick cha Abg/acacia ni kama wamekifuta na sasa wamerudi barrick wenyewe kusimamia na kuunda kijitanzu kichasimamia migodi ya tz wakishirikiana na serikali, kijitanzu hicho ndo kinaitwa twiga minerals, so bgml ilikuwepo na bado ipo.
 
Acha uongo wewe Bgml ndo nini?
BGML ni matokeo ya wazungu kukwepa kodi,hii ndo ilikuwa ikiitwa Kahama Gold mine baadaye wakaiita Bulyanhulu Gold Mine Limited,baada wakaibadilisha kuwa Africa Barrick Gold mine,baadaye wakaigeuza ACACIA wazee wa makinikia.
Hivyo BGML haikufunga.
Ile.misamaha ya kodi ili tu cost. Kila ikiisha miaka mitano jamaa wanabadilisha jina kama kuna Mmiliki mpya, Kampuni mpya! Halafu hao kina ZZK ndio wako kwenye kamati ya Bunge ya Mahesabu.
 
Fast Jet bei ilikuwa ndogo kwa kuwa walikua hawalipi kodi kapuku wewe
Mwambie huyo bwege kama hao fastjet wanauwezo wa kutoa ukarimu huo, mbona hakuna nchi iliyowaita? Sie wabongo sio mabwegwe na janja ya nyani tuliigundua
 
Back
Top Bottom