Marehemu magufuli alikuwa mwongo sanaHii ilinishangaza sana... WALIPOSEMA HAWAKUSAJILI,
1. Michango ya NSSF/PPF ya wafanyakazi ilikuwa inafikaje huko kwa jina gani!?
2. Mishahara ya wafanyakazi, ilikuwa inalipwa kupitia BENKI, hizo electronic transfer zilikuwa zinafanyikaje na huku hawakusahiliwa!?
3. OSHA certificates zilipatikanaje!?
4. ILE HT line ya kutoka Shinyanga hadi KMCL TANESCO walikuwa wanapeleka Bill's za umeme kwa jina gani!?
5. Serikali, PAYE za wafanyakazi walizipokea wakiwa wanafanya kazi wapi!?
6. HELB nao walikuwa wanakata mikopo ya waliosoma elimu ya juu, walikuwa wanakata vipi!?
7. Twiga cement nao yale maloli yao yalikuwa anapeleka cement kwa nani!?
8. KMCL walikuwa na ndege DASH 8, ilikuwa inatumiaje uwanja wa ndege wa Dar? Na ile airstrip ya pale kakola, waliruhusiwaje kuijenga!?
BY THE WAY, MKAPA NDO ALIUFUNGUA MGODI NA ALIPEWA ZAWADI YA SEPETU YA DHAHABU... hii nayo ilikaaje!?