Hivi ni makampuni gani ambayo yalifanya shughuli zake kihalali kabisa nchini, na yalifunga shughuli baada ya utawala wa Magufuli kuingia madarakani?

Kumekuwepo na tuhuma nyingi sana mitandaoni, na sehemu mbalimbali toka kwa baadhi ya watanzania wenzetu , yakwamba enzi ya utawala wa Magufuli wafanyabiashara wengi na makampuni yaliacha kufanya biashara halali na kuondoka nchini,kisa walionewa?

Naomba kupitia uzi huu tutaje baadhi ya wafanyabiashara na makampuni hayo ambayo biashara zao zilisajiliwa brela na yalifanya biashara kihalali nchini na yalikuwa yakilipa kodi stahiki kwa taifa letu.
Wimbo huu umeshamiri sana ,kukata mzizi wa fitina twendeni na facts.

Isije kuwa kampuni na wafanyabiashara wakwepa kodi ndio waliokimbia na sasa wanaamini mwendazake hayupo tena hivyo ni fursa tena kwao .?

OLAM Tanzania Ltd,
 
Kumekuwepo na tuhuma nyingi sana mitandaoni, na sehemu mbalimbali toka kwa baadhi ya watanzania wenzetu , yakwamba enzi ya utawala wa Magufuli wafanyabiashara wengi na makampuni yaliacha kufanya biashara halali na kuondoka nchini,kisa walionewa?

Naomba kupitia uzi huu tutaje baadhi ya wafanyabiashara na makampuni hayo ambayo biashara zao zilisajiliwa brela na yalifanya biashara kihalali nchini na yalikuwa yakilipa kodi stahiki kwa taifa letu.
Wimbo huu umeshamiri sana ,kukata mzizi wa fitina twendeni na facts.

Isije kuwa kampuni na wafanyabiashara wakwepa kodi ndio waliokimbia na sasa wanaamini mwendazake hayupo tena hivyo ni fursa tena kwao .?
Nenda BRELA utapata orodha ya makampuni yote yaliyofunga shughuli zake.

Kwa upande wa madini, kulikuwa na makampuni zaidi ya 140 yakifanya utafiti, mpaka sasa hakunanhata moja inayofanya utafiti. Zaidi ya 100 yamefunga na kuondoka, yaliyobakia yapo tu kqenye vitabu, lakininhayafanyi chochote.
 
Shopprite, Choppies, Nakumat, Quality Group, Rhino Cement, Schrumberger, Fast Jet, Kampuni ya Waturuki iliyokuwa na Maduka Makubwa Mbezi Beach Dar es Salaam, Kampuni zilizokuwa zinamunia na kunangua korosho Mtwara, Mkono Advocates, Mbinga Bank, Twiga Bank, Bank M, Bank ya Wanawake, Bilicanas club, Mashamba ya Mbowe ya Hai, SIMON Group na mengineo mengi saana
Bank M=EPA and Mkono Advocate...wote Dugu moya!
 
Fastjet ilikuwa na ndege mbili tu, moja ikapelekwa nje kufanyiwa maintenance na ikabaki moja,wakaendelea na biashara kimagumashi na wakawa wana cancel trip zao na kuwarudishia abiria tickets zao, mara wana delay , malalamiko yakawa mengi na walikuwa wanadaiwa madeni mengi na suppliers ndipo serikalini ikaingilia kati na ndege yao moja ikawa grounded, ila kwa kuwa upinzani hawana hoja unakuta wana ilaumu serikali iliua Fastjet , kivipi? fastjet was in liquidation stage, hadi muda huu wana operate Zimbabwe na South Africa tu, kwingine kote walishafunga, je hii kampuni inatufaa Tanzania? tuko kwenye dunia ya shindani sio kila kampuni ikifa ni serikali .

Nakumatt wamefunga biashara zao zote nchini kenya na kununuliwa na carrefour, sasa parent company imekufa unadhani Nakumatt ya Tz itaendelea kuwa strong?

Simon Group ndio kina Lugumi na wote mnajua wizi huu na chanzo cha kufa, je serikali inakosa? hii issue ilikuwa debated hata bungeni na waziri mmoja akaacha kazi na Simon mwenye baadhi ya mali zake kupigwa mnada, hizi hazikuwa kampuni yalikuwa na magenge ya uharamia, kama tunalilia hadi kampuni za kina rugemalila basi mtoa mada yuko sahihi, tafuteni vitu vyenye facts .
 
Kumekuwepo na tuhuma nyingi sana mitandaoni, na sehemu mbalimbali toka kwa baadhi ya watanzania wenzetu , yakwamba enzi ya utawala wa Magufuli wafanyabiashara wengi na makampuni yaliacha kufanya biashara halali na kuondoka nchini,kisa walionewa?

Naomba kupitia uzi huu tutaje baadhi ya wafanyabiashara na makampuni hayo ambayo biashara zao zilisajiliwa brela na yalifanya biashara kihalali nchini na yalikuwa yakilipa kodi stahiki kwa taifa letu.
Wimbo huu umeshamiri sana ,kukata mzizi wa fitina twendeni na facts.

Isije kuwa kampuni na wafanyabiashara wakwepa kodi ndio waliokimbia na sasa wanaamini mwendazake hayupo tena hivyo ni fursa tena kwao .?
Tumefunga kampuni ya familia wakati wake.
 
Hivi na precision Air nayo ilizongwa kama fastjej? kama ni ndio au hapana kwa nini?
 
Twiga bank yenyewe iliwekwa kwenye uangalizi toka mwaka 2016 baada ya kuonekana ina operate kimagumashi wakiwa hawana hata pesa za kutosha baadae ikaja ikaungana na Tanzania postal bank na wateja wao kulipwa na wengine kuhamishiwa Tanzania postal bank (TPB bank), ingeweza kufirisika na kudhulumu au bila kulipa wateja wake serikali ikawahi na kutoa ufumbuzi, mimi nilichojifunza 80% ya watanzani hawasemi ukweli either kwa kutojua au kutojua, 80% ya wana siasa wetu ni waongo na hawa semi ukweli kwa wana nchi, mwananchi anapata taarifa nyingi za uongo, ambazo ndio taarifa nyingi zimezagaa kila mahali.
 
Lakini si rais mpya alisema wazi Tanzania mazingira ya kuwekeza si rafiki? Hamtabiriki, makodi yasiyo na sense....nimegundua kitu kimoja Tanzania: watu wengi wana wivu na hawafurahii wengine kufaulu. Biashara is about profits. Kama hakuna faida hakuna biashara. Ukimbambika mtu kodi inayomfanya asipate faida aidha ataikwepa andelee kuishi au afunge virago. Simple.
 
Wahuni?!!!ulidhania ku bakia pekee yako kwenye biashara ndio kufanya vizuri hahaha!!yako wapi sasa?jamaa alikuwa na roho ya uharibuf tu!!eti kwenye awamu yake ROSTAM , ndio akaibuka muwekezekaji mkubwa na swaiba wake!!MUNGU FUNDI
KIBOOOOOOOOOOO HUYU ROSTAM WALLAH SIMPATIAGI PICHA
 
Wale watetea haki za mashoga?
Kwa hiyo hata wale mawakili walio vuliwa uwakili wao na a
Twiga bank yenyewe iliwekwa kwenye uangalizi toka mwaka 2016 baada ya kuonekana ina operate kimagumashi wakiwa hawana hata pesa za kutosha baadae ikaja ikaungana na Tanzania postal bank na wateja wao kulipwa na wengine kuhamishiwa Tanzania postal bank (TPB bank), ingeweza kufirisika na kudhulumu au bila kulipa wateja wake serikali ikawahi na kutoa ufumbuzi, mimi nilichojifunza 80% ya watanzani hawasemi ukweli either kwa kutojua au kutojua, 80% ya wana siasa wetu ni waongo na hawa semi ukweli kwa wana nchi, mwananchi anapata taarifa nyingi za uongo, ambazo ndio taarifa nyingi zimezagaa kila mahali.
Shida kubwa ni pale taarifa ni siri,ukweli unageuzwa uongo na uongo unageuzwa ukweli,kwa maslahi ya wachache.nakuwazipa midomo wenye kuona na kuyasema yasiyo sawa.
 
Makampuni ya Manji, Mbowe, Mo..Chupuchupu baada ya kuvishwa kanga, Dangote naye almanusura afunge kiwanda n.k
[/QU
Ingekuwa vyema ukataja jina la kampuni iliyokumbia nchini kwa kuonewa na utawala wa JPM na siyo kutaja zilizonusurika. Tena ingekuwa vyema ukataja baada ya kukimbia hapa nchini walienda kuwekeza nchi gani.
 
Kumekuwepo na tuhuma nyingi sana mitandaoni, na sehemu mbalimbali toka kwa baadhi ya watanzania wenzetu , yakwamba enzi ya utawala wa Magufuli wafanyabiashara wengi na makampuni yaliacha kufanya biashara halali na kuondoka nchini,kisa walionewa?

Naomba kupitia uzi huu tutaje baadhi ya wafanyabiashara na makampuni hayo ambayo biashara zao zilisajiliwa brela na yalifanya biashara kihalali nchini na yalikuwa yakilipa kodi stahiki kwa taifa letu.
Wimbo huu umeshamiri sana ,kukata mzizi wa fitina twendeni na facts.

Isije kuwa kampuni na wafanyabiashara wakwepa kodi ndio waliokimbia na sasa wanaamini mwendazake hayupo tena hivyo ni fursa tena kwao .?
Athi river cement au Rhino cement
 
Kumekuwepo na tuhuma nyingi sana mitandaoni, na sehemu mbalimbali toka kwa baadhi ya watanzania wenzetu , yakwamba enzi ya utawala wa Magufuli wafanyabiashara wengi na makampuni yaliacha kufanya biashara halali na kuondoka nchini,kisa walionewa?

Naomba kupitia uzi huu tutaje baadhi ya wafanyabiashara na makampuni hayo ambayo biashara zao zilisajiliwa brela na yalifanya biashara kihalali nchini na yalikuwa yakilipa kodi stahiki kwa taifa letu.
Wimbo huu umeshamiri sana ,kukata mzizi wa fitina twendeni na facts.

Isije kuwa kampuni na wafanyabiashara wakwepa kodi ndio waliokimbia na sasa wanaamini mwendazake hayupo tena hivyo ni fursa tena kwao .?
Mkuu hapa hutopata majibu ya maana, watu watajiumauma humu, subiri tusome coment.
 
Hizo mega projects ungezijenga bila kukopa sawa!!sasa kama ndani ya miaka mitano umekopa trilioni 25kutoka kwa mabeberu!!nakukaa kupika takwimu tu bora mama juzi amesema ukweli kuwa uchumi uko kwenye asilimia 4, wakati mtaalam wa kulisha watu matango poli kila siku alikuwa anatwambia ni asilimia 7!!
Sasa kwani alikopa akanunulia chapati? Kila nchi duniani inakopa, hata America pia wanakopa na kuna kiwango pia cha kukopa sasa ukiona aliweza kukopa deni kubwa hivyo ndani ya muda mfupi ujue wakopeshaji walimuelewa anachokifanya la sivyo asingekopesheka.
 
Back
Top Bottom