Daah, juzi niko Dar nikasema nifanye zoezi na kushangaa kidogo, nimefika Coco-Beach kuelekea Laibon Road nimekutana na masinagogi yana kuta za hatari. Kibaya zaidi ni kwamba hata Easement (Njia za kupita) hakuna, inabidi uvuke huu mtaa kuelekea wa pili ndiyo upate njia. Mtaa uko kimya vibaya mno, nikasema hata wenzetu wazungu hawafanyi hivi aiseee. Lakini hichi ndicho wanasema A NEW NORMAL,....Wengi hawajui zamani O'bay nyumba nyingi hazikuwa na fence,unakatiza nyumba kwa nyumba mitaa mitatu....watoto,wazee wote wanafahamiana. Sasa hivi kuna maukuta kama gereza na watu wanaona sifa kutokufahamiana.
Watu wengi hawajui tu, lakini hizi jumuiya zina manufaa sana sanaa. Hasa linapokuja suala zima la ajira, elimu na biashara. Kama umeshirikiana na kuishi vizuri na watu unakuwa kwenye nafasi nzuri zaidi kwenye maisha. YOUR NETWORK IS YOUR NET-WORTH, sema watu wengi hawajang'amua kabisa.Zamani maisha yalikua mazuri watu walisocialize vzuri na mkijenga urafiki unakua ni urafiki hasa na wenye faida tofauti na sasa.
Pia siku za sherehe mtajumuika familia + marafiki wamama watapika tutakula na kuenjoy + stories kibao but nowdays sijui ndio utandawazi kukiwa na sherehe mtu atabebana na familia yake anaenda kuenjoy restaurant/hotelin basi imetoka.
I miss the good old days kwakweli.
Mifumo ya maisha ya upweke ina madhara makubwa sana hasa kwa maisha ya mbeleni. Kuna mahala nilisoma haya maradhi ya msongo wa mawazo yanasababishwa kwa kiasi kikubwa na maisha ya kujitenga sana na jamii.Watu wengi hawajui tu, lakini hizi jumuiya zina manufaa sana sanaa. Hasa linapokuja suala zima la ajira, elimu na biashara. Kama umeshirikiana na kuishi vizuri na watu unakuwa kwenye nafasi nzuri zaidi kwenye maisha. YOUR NETWORK IS YOUR NET-WORTH, sema watu wengi hawajang'amua kabisa.
Siku hizi hata vijana au wamama wakija kuniambia kuna shughuli za mtaani, hata kuchangia timu ya mpira au mradi fulani. Mimi huwa najiweka tu bila hiyana, na mimi nifanye kitu. Nafahamu dhahiri siku za mbeleni hili litanisaidia tu,....
Kweli zinasaidia sana na ukishirikiana vzuri na watu unajijengea reputation nzuri ambayo itaweza saidia hata kizazi chako.Watu wengi hawajui tu, lakini hizi jumuiya zina manufaa sana sanaa. Hasa linapokuja suala zima la ajira, elimu na biashara. Kama umeshirikiana na kuishi vizuri na watu unakuwa kwenye nafasi nzuri zaidi kwenye maisha. YOUR NETWORK IS YOUR NET-WORTH, sema watu wengi hawajang'amua kabisa.
Siku hizi hata vijana au wamama wakija kuniambia kuna shughuli za mtaani, hata kuchangia timu ya mpira au mradi fulani. Mimi huwa najiweka tu bila hiyana, na mimi nifanye kitu. Nafahamu dhahiri siku za mbeleni hili litanisaidia tu,....
Hii sentensi yako ya mwisho inanikumbusha wimbo wa Kenny Rogers unaitwa 20 years ago,maudhui yake yanafanana sana na hili bandiko la ndugu MALCOM LUMUMBAI miss the good old days kwakweli.
Daah hapo kwenye upweke ndio tatizo kubwa, kama baadhi ya taarifa za vifo unaskia mtu amekutwa kafariki nyumbani kwake mwili umekuja kugundulika baada ya week that means alizidiwa akakosa hata msaada wa watu wa karibu hadi anafarikiMifumo ya maisha ya upweke ina madhara makubwa sana hasa kwa maisha ya mbeleni. Kuna mahala nilisoma haya maradhi ya msongo wa mawazo yanasababishwa kwa kiasi kikubwa na maisha ya kujitenga sana na jamii.
Siku hizi ukipata tatizo hakuna rafiki wa karibu kufarijiana ndio maana tunakimbilia kwenye pombe ili kujisahaulisha. Tofauti na rafiki,kwanza anakusikiliza unapata faraja halafu anakupatia ushauri.
Bahati mbaya haya maisha hayakwepeki tena,tushaingia ndani yake.
Hahaa nitaucheki niuskilize, siufahamuHii sentensi yako ya mwisho inanikumbusha wimbo wa Kenny Rogers unaitwa 20 years ago,maudhui yake yanafanana sana na hili bandiko la ndugu MALCOM LUMUMBA
Naunga mkono, hizi simu kwa kiasi flani zimechangia sana watu kuwa wabinafsi ingawa kwa upande mwingine zimeturahisishia mambo mengi kwenye maisha ya kawaidaYote yanasababishwa na simu janja!!