Hali hazifanani hana uwezo wa kutoa hizo kwa mkupuo ndio mana ametoa kwa awamu mkuuVitu vingine ni utani na dharau...
Unaambiwa mahari million3...
Unaomba ulipe miliion2 sawa, alafu hapo hapo unasema unatanguliza miliion1 kwanza zingine taratibu, ni kuwapotezea muda wenzako...
Cc: mahondaw
Vitu vingine ni utani na dharau...
Unaambiwa mahari million3...
Unaomba ulipe miliion2 sawa, alafu hapo hapo unasema unatanguliza miliion1 kwanza zingine taratibu, ni kuwapotezea muda wenzako...
Cc: mahondaw
Mahari sio lazima kulipa yote ,maelewano tu ata miaka kumi badae unamalizia tu,Vitu vingine ni utani na dharau...
Unaambiwa mahari million3...
Unaomba ulipe miliion2 sawa, alafu hapo hapo unasema unatanguliza miliion1 kwanza zingine taratibu, ni kuwapotezea muda wenzako...
Cc: mahondaw
Hali hazifanani hana uwezo wa kutoa hizo kwa mkupuo ndio mana ametoa kwa awamu mkuu
Haha unakua umemkopa kwanza.. hivi kwa ambao wanatanguliza kidogo badae kwenye kumalizia inakuaje!??? wakwe wanadai kama deni ama?? make Kuna wengine wakishatanguliza hio na binti anamchukua sasa kwenye kumaliza mahari ndo naomba kujuzwa kama wanadai ama!???
Me naona hatakiwi tuHilo linaeleweka...
Ila ndugu na kamati itakua wamemuona jamaa mbabaishaji, kwanza kataka punguzo la miliion1 ni sawa hakuna tatizo.. hapo hapo anatangulizi million1...
Angesema jamani uwezo wangu ni million1.5 natanguliza million1 kwanza...
Cc: mahondaw
Me naona hatakiwi tu
Hilo lipo kwa kweli ndio mana nikawa najaribu kujiuliza nanhali ilivyongum hivi wanashindwa nn kuelewaKwa mujibu wa mleta mada, utata ulikua kwenye uchache wa mahari, ndugu wamekataa...
Kuna familia zingine zipo poa sana wasikilizaji na waelewa sana... ila kuna familia zingine, binti anaolewa wanataka kupatia hapo hapo, wanakomaa haswa..
Cc: mahondaw
Mahali haimalizwagi mama..Haha unakua umemkopa kwanza.. hivi kwa ambao wanatanguliza kidogo badae kwenye kumalizia inakuaje!??? wakwe wanadai kama deni ama?? make Kuna wengine wakishatanguliza hio na binti anamchukua sasa kwenye kumaliza mahari ndo naomba kujuzwa kama wanadai ama!???