Naungana na madai ya madaktari dhidi ya serikali ambao hadi sasa yanataka kuwafanya wagome tena. Lakn hivi kwanini wasishinikize hayo madai yawahusu pia wafanyakazi wengine wa kada ya afya ambao kila siku wanafanya nao kazi usiku na mchana kama manesi, maabara, wafamasia, radiolojia na wengineo? Nafkiri haitasaidia sana au itafaa nn wao madaktari wakilipwa mamilioni na benefit nyingine huku wenzao wakiendelea kutaabika.