Hivi ni madakari tu! Vp kuhusu kada nyingine za afya?

Maega

Senior Member
Jul 10, 2010
156
30
Naungana na madai ya madaktari dhidi ya serikali ambao hadi sasa yanataka kuwafanya wagome tena. Lakn hivi kwanini wasishinikize hayo madai yawahusu pia wafanyakazi wengine wa kada ya afya ambao kila siku wanafanya nao kazi usiku na mchana kama manesi, maabara, wafamasia, radiolojia na wengineo? Nafkiri haitasaidia sana au itafaa nn wao madaktari wakilipwa mamilioni na benefit nyingine huku wenzao wakiendelea kutaabika.
 
nakumbuka kuna rafiki yangu alikuwa anasoma muhimbili university(kipindi hicho ilikuwa chini ya UDSM-ikiitwa MUCHS)aliniambia kuwa wao mara nyingi hawagomi na hata wenzao wa udsm wakigoma wao hawakuwaunga mkono kwa kugoma!kwa hivo 'kijamii' walkuwa wanoenekana kama 'wastaarabu'.ila kimyakimya walkuwa wanoembea mlimani waendelee kukaza kamba na benefits za migomo ya mlimani zilikuwa zinafaidi na wao equally lakini walikuwa away from the negative impacts za hiyo migomo!
Nasikia 'sina hakika' kwamba mishahara na allowance za kada nyingine ktk sekta ya afya zinakokotolewa kutoka kwa mishahara na allowance nyingine za madaktari respectively!hivyo......
Could this be the reason??!!?
 
nakumbuka kuna rafiki yangu alikuwa anasoma muhimbili university(kipindi hicho ilikuwa chini ya UDSM-ikiitwa MUCHS)aliniambia kuwa wao mara nyingi hawagomi na hata wenzao wa udsm wakigoma wao hawakuwaunga mkono kwa kugoma!kwa hivo 'kijamii' walkuwa wanoenekana kama 'wastaarabu'.ila kimyakimya walkuwa wanoembea mlimani waendelee kukaza kamba na benefits za migomo ya mlimani zilikuwa zinafaidi na wao equally lakini walikuwa away from the negative impacts za hiyo migomo!
Nasikia 'sina hakika' kwamba mishahara na allowance za kada nyingine ktk sekta ya afya zinakokotolewa kutoka kwa mishahara na allowance nyingine za madaktari respectively!hivyo......
Could this be the reason??!!?

Ndiyo, watu wa kada nyingne za afya husafiria nyota za madaktari, kwani benefits za Drs zikipanda, automatically na zao hupanda, japo wao ni waoga kugoma.
 
wakiingia madaktari na hao automatically wanakuwa wameingia kwa sababu wale wanapata request toka kwa daktari. hivyo mchezo ule ule nao wamo
 
Naungana na madai ya madaktari dhidi ya serikali ambao hadi sasa yanataka kuwafanya wagome tena. Lakn hivi kwanini wasishinikize hayo madai yawahusu pia wafanyakazi wengine wa kada ya afya ambao kila siku wanafanya nao kazi usiku na mchana kama manesi, maabara, wafamasia, radiolojia na wengineo? Nafkiri haitasaidia sana au itafaa nn wao madaktari wakilipwa mamilioni na benefit nyingine huku wenzao wakiendelea kutaabika.

NO ONE WILL FIGHT FOR UR RIGHT KAMA WEWE MWENYEW HUJISHUGHULISHI..madaktari wanatetea haki zao wengine kimyaa manake nini si ni kwamba hawajiamini?wenzao wakiongezewa watalalamika ..nani atajua km una shida ukikaa kimya..watajiju..hasa manesi wanakazi ngumu kuliko dk lkn wamenyamaza sijui kwasababu wengi ni wanawake na hawajiamn?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom